Saturday

Ubunifu ukizidi ni ukiukwaji wa Maadili

I just loved everything about this dress but kitendo cha kuiacha wazi hapo nyuma na kuonyesha hayo maeneo ya makalio sio jambo jema.. kwa nchi za wenzetu inaweza kuwa sawa lakini kwa hapa kwetu ni Noumaaaah! Mungu atuepushie mbali katika ubunifu wetu tusifike huku

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie