![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgt8KZeokgGnw-zRh2pHsepaOvVeMfW1f7oEg-TePOdJUdJDUDESRjPq_VgXnEuCJv-vMjg60xDq4L-B4SFWWOmzaY10C5veH82uiYmMLLphV5dkvtDDjJoe5a4wEs9gNsB3Gu5OmWi4piS/s280/2....png)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh039s3Jndr6sOVtb5DHkSXVqHu9F_Hfp2U4cVUfDaprDIUulzgG3wGGlnAPs4AD8uVjjHWaQcew5xPTHaIOtmifrFSpu7tCq5kbxM_fNg_3SLtobhRaownGPuon7RT3Llmy82CA48YJAsq/s280/1...png)
"Kipindi nilipokuwa na Mpenzi wangu wa zamani (Kanye west) Sikuwa na Sauti kabisa kwake,Nilikuwa sielewi kila kitu, lakini kwa sasa napata kila kitu... Mimi na Wizy mapenzi yetu tumeweka wazi mbele ya dunia, hatufichi mambo yetu tunapendanaa na tunafurahia mapenzi yetu na tunataka watu wengine wfuate nyayo zetu katika mapenzi hakuna haja ya kuogopa kuwa katika mahusiano."
No comments:
Post a Comment
sema tukusikie