
Katika salamu zake za Pongezi posh amesema,
"David and I are absolutely thrilled for Elton and David," said Victoria. "They have so much love to give and will be wonderful parents."






Zamaradi mketema.. apart from Kazi yake utangazaji.. she can make it to the top of fashion industry!!
Fashionista Anayechipukia Pennyl Mungilwa, She always dare to go her Way....with much suprises during her live Tv show!!
Nansy Sumari...Former Miss World Africa....Well known in fashion Industry and soon ataitunuku Tanzania zawadi nzurii..Guess what is it??
Ni wabunifu wachache sana wanaoweza kubuni na kuvaa wenyewe kile walichokibuni...loved my lace shirt!!i killed it on my own way!!
Batiki imesahaulika sanakatika ubunifu wa tanzania.. turudishe heshima yake kwakuonyesha jinsi gani unaweza kung'ara with batik... hito ni batiki top dress ambayo unaivaa na skin jeans au stockings kama nilivyomvalisha model hutu.. unaweza kutoka hivi katika mialiko classic ya jioni..kama we ni mpenzi wa fashion... try to go out in Batiki top dress na utajiona jinsi unavyofeel proud to be a tanzanian....
High waist jeans with sexy batiki top to give you outstanding look.. it feels good kwa mwanamke kuuachia mwili wako kidogo..kitovu na mabega yana mvuto kwake... i love each and every design niliyoinyesha katika jukwaa la tanzania mitindo house!!
Not only singing... modelling ndio imemtambulisha katika anga ya burudani!! Mwinyi Goha!!
Ubunifu zaidi ili kuleta radha ya Onyesho!!
1. Myler Jamillah Nyangasa!! but when it comes to her career anatambulika zaidi kama Myler!! Kwa mwaka mzima ndio amekuwa model anategemewa kwa kufungua show!! kwa tanzania She is our first face....Ameongoza kwa mwaka huu katika Runway!

4.Rihama...... mmoja kati ya wasichana wachache walioanza modelling kitambo lakini wamefanikiwa kumiliki stage na kuonekana na mvuto kila wakiibuka na Vazi la mbunifu yoyote!!
5.Neemah!! namtambua kama makutano Junction maana kila kimeo lazijma utakutana nae...anafunga list yangu ya wanamitindo bora zaidi watano wa juu ya stage kwa mwaka huu!!
Kiwalo cha mboni kilikuwa balaaa
Venture, myler with B12
Cute Fatma with her friend
Mi pendaga this dada.....
with my boss......Nuru the Light
Mai the sweetest alikuwemo ndani ya nyumba na mashoga zake.. watoto wavutaaaaaaaaaa.