FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Monday

Unajua Brad Pit alikuwa Stripper kabla ya kuwa Star?

Mmoja wa Mastaa wakubwa ndani hollywood Brad Pit amewahi kujihusisha na kazi ya uchezaji uchi enzi zake za kuelekea katika mafanikio ya kazi yake iliyompa umaarufu mpaka siku ya leo. Brad alikuwa akifanya kazi hiyo kipindi bado yupo chuo kikuu cha Missouri, Pit alikuwa ni mmoja wa wanakikundi cha kucheza kilichokuwa kinajulikana kwa jina la "DANCING BARES" kama ulikuwa hujui ndo ujue sasa!!

6 Days before Marriage : Kim Kardashian




Beyonce The most powerful Black Woman in the U.S

Usiku wa Agosti 10 ticket za Concert ya 4 Intimate Night With Beyonce ziliuzwa ndani ya ya sekunde 30 ambapo jarida la People lilimtangaza Beyonce kushika nafasi ya kwanza kwa Mastaa weusi wenye nguvu ndani ya Marekani, Nafasi hiyo imekuja baada ya mwanadada huyu kufunga mauzo yake ya ticket kwa muda mfupi zaidi, Beyonce ameshika nafasi ya kwanza kwa Mastaa weusi wenye nguvu Marekani huku nafasi ya pili ikikamatwa na Oprah Winfrey na Ya tatu ikishikiliwa na Mke wa Raisi wa Marekani Michelle Obama.


Friday

CrazY friDaY....

Lord Forgive Me for My Sins ndivyo zinavyosomeka hizi Tshirt


Adam Mchomvu na Hamis Mandi B12

Perfect, Adam Mchovu na B12
I truly love this Picture

Si na Mimi nikaingia ndani bana

Adam haishiwi Vituko

New CampaiGn ya Tshirt!! if u like them Just holla at me

Dee wa 255 ya XXL alikatisha Eneo hili Weekend njema wadau wa Blog hii

Thursday

Celebrities Wanaomiliki Migahawa (Restaurants)

Bess Bestro inamilikiwa na Sandra Bullock


SteakHouse inamilikiwa na mcheza kikapu Michael Jordan



Southern Hospitality Restaurant inamilikiwa na Justin Timberlake



40/40 ni Bar inayomilikiwa na Mwana Hip Hop Jay Z



Hapa kwetu Tanzania Tunaye Judith Mbibo Ambaye anamiliki mgahawa wa nyumbani Lounge.



Lady Gaga ameingia share katika Restaurant inayomilikwa na wazazi wake iliyopo new york inayofahamika kwa jina la Vince And Eddies


Beso Restaurant inalimilikiwa na Eva Longoria


Wednesday

Angeline Jolie Anachukia "Kukumbatiana"

1. Angelina Jolie anatatuu ya herufi H ambayo imechorwa kwa upande wa ndani wa mkono wake wa kushoto, Tatuu hiyo inamaanisha jina la kaka yake aitwaye James Haven Voight ambaye ni mtu wake wa karibu sana.

2.Mwaka 2000 Angeline jolie na kaka yake walizungumzia tetesi za kuwepo kwa uhusiano kati ya wawili hao kutokana na kitendo chao cha kuonekana mara nyingi wakipigana mabusu ya mahaba hadharani kitendo kilichoanzisha hisia kwa watu kuwa wanaweza kuwa na uhusiano wa kimapenzi,Siku chache zilizofuatia James alisema anamchukulia dada yake kama mwanamke kamili, anasema hajaona mwanamke mwenye kuweza kumzidi dada yake huyo mpenzi.

3.Alipokuwa mdogo Angeline jolie alitamani sana kuwa Vampire na alikuwa kashaanza kukusanya vitabu vinavyohusu maisha ya Vampire. Baadae aligundua kuwa ndoto zake ilikuwa ni kuwa muongozaji Mazishi. .

4. Angelina Jolie pia amewahi kusema kuwa Muigizaji wa kike Gena Rowland ndio alimfanya ajiingize katika uigizaji. na Kwa bahati nzuri angeline julie amewahi kushiriki filamu moja na Star huyo katika filamu ya Playing By heart (1998) na Taking Lives (2004)

5. Mama mzazi wa Angelina Jolie bi.Vivienne Bertrand alimchagulia jina yule mtoto wake wa tatu aliyemuasiri kutoka Vietnam, mtoto huyo alipewa jina la Pax

6. Angelina Jolie alijiingiza katika uanamitindo akiwa na miaka 14 na alipotimiza miaka 18 akaachana na modeling na kuingia katika uigizaji.

7. Angelina Jolie’s alionekana kwa mara ya kwanza katika maigizo mwaka 1982 alipokuwa na miaka 7 alipoonekana katika filamu ya baba yake iliyofahamika kwa jina la Lookin' to Get out.

8. Akiwa mtoto, Angelina Jolie alikuwa na nyoka wawili aliyowaita Vladimir na Harry Dean Stanton. Kuweza kucheza na Nyoka toka akiwa mdogo kulimwezesha kuweza kucheza vizuri katika filamu ya ALEXANDER

9. Jolie ni shabiki mkubwa wa Liverpool Football Club hii ni kutokana na mwanae Maddox kutaka kuchezea timu hiyo

10. Angelina Jolie Hana mwandishi wa habari au mzungumzaji wake, anafanya kila kitu yeye mwenyewe bila msaada wa afisa mahusiano.

Na kubwa kuliko zote Angeline jolie anachukia sana swala la kukumbatiana. anasema hapendi kabisa kukumbatiana na mtu yoyote.


Fight For Sight Charity Gala 2011 @ Movenpick

Blogger Shamim mwasha, si unajua swala la mwezi mtukufu
Honestly speaking, watu walionekana tofauti sana mwezi mtukufu umefanya watu wajisitiri
Dina Marios kutoka cloudsFm alijitupia ndani ya Kitenge na kuwa na muonekano wa "Back To Africa"
Fight for Sight Charity Gala Night nikiwa na Fashion Designer Asia Idarous na Giver Meena
Usherz walikuwa wakikaribisha wageni katika Hafla hii

Monday

Dina Marios umenigusa na hii Post on Your Blog

Hii P0st nimeona katika Blog ya Mtangazaji wa CloudsFm na nikaguswa nayo kwasababu asilimia kubwa ya bloggers wanakutana na aliyokutana nayo yeye hivyo nimeona niibebe kama ilivyo na kuipost hapa pia! ujumbe uwafikie wote unaowahusu.

Mara kadhaa wadau wengi huniuliza ninawezaje kuvumilia maoni ya watu wachache wenye matusi na kejeli juu yangu!?


KAULI YANGU


1.Kama binadamu wakati mwingine huwa naumia ila ninajua kwa nini watu kama hao wapo,wapo kwa sababu mimi ni Dina Marios.


2.Bila wao kujua hawa watu wananikubali sana ila wanachukia kwa nini wananikubali.


3.Watu hao wana hasira na maisha yao,wao wenye binafsi lakini kwa sababu hawajui namna na kukabiliana na hasira zao huzimalizia kwangu kwa sababu anaona kuna jambo fulani nimefanikiwa kumzidi.


4.Kwenye comment nzuri 50 inapotokea comment 1 ya matusi na kejeli ina maanisha nini?inamaanisha wanaoniombea mema ni wengi.


5.Kwa sababu najua tatizo la mtu huyo ndio maana huwa ninaweka comment yake.Akiiona yeye anafarijika na nafsi yake kuwa ameniweza hiyo ni relief ya ugonjwa unao msumbua coz nilikuwa nauwezo wa kuifuta.


MFANO
hujafanya chochote cha maana hamna asiyejua kupika sausage na mayai kwanza embu uwe una update blo yako na vitu vya maana sio uwo usenge acha uvivu msenge wewe... mnene kama pipa
Definition ya mtu mwenye maoni kama haya kwanza ana msongo wa mawazo,ana matatizo yake mwenyewe ila kwa sababu hawezi kudeal nayo anatafuta wapi pa kutolea hasira zake.Kwa nini si mtu mwingine ni mimi?ni kwa sababu nini ni threat kwake.Kama angekuwa better than mimi bila shaka asingekuwa hata na muda wa kutoa comment za matusi.
Pia hajiamini hivyo anatafuta mtu wa kumshusha ili aweze kulingana na yeye kihisia.Kama angekuwa anajiamini sana basi angeweka jina lake tumjue.
Maoni ya ku-critisize yanaruhusiwa ila yanapokuwa ya matusi tena yasiyo na sababu inaonyesha mtu huyu ana ugonjwa wa akili.
Unaponiita mnene kama pipa,tinginya sijui vitu gani kwani nina kilo 100,200,300!!!una uhakika huko kwenu hakuna watu wanene??ndugu zako jamaa zako??

Pls wale wenye comment za hivi waoneni phsycologist mapema kwa ajili ya councelling kabla hamjapata matatizo.Its not healthy at all au ongea wadau wakusaidie kimawazo.
Mwisho namaliza kwa kusema nahitaji sana challenge/changamoto kutoka kwako na sio matusi.

Sunday

Ludacris Design kakopi Swagger za B12 katika Serengeti Fiesta 2011

Hamis Mandi aka B12 ndivyo anavyojulikana na wengi wa wasikilizaji wa kipindi anachokiendesha ndani ya cloudsfm (XXL) yeye ndo alikuwa mtu wa kwanza kumuona alipokuja backstage ya Fiesta kwa ajili ya kushirikiana na watangazaji wengine kuendesha Shughuli nzima ya Fiesta kwa mwaka huu, alikuwa chini kavaa Sneaker Nyeusi na ana pensi ya Army pamoja na tishirt nyeusi, haikuchukua muda mrefu kama katika time za tano hivi mwanamziki kutoka marekani Ludacris nae akaingia backstage akiwa na kiundi lake, ila nilipomwangalia kwa makini nikaona kavaa sawa sawa na B12, angalia hizi picha then nipe tathimini yako kama mimi nimekosea

Friday

Ludacris akasign kitabu cha wageni kutoka Hollywood niliokutana nao

Always huwa nafurahi pindi napokutana na watu waliweza kuendesha maisha yao na kuajiri wengine kupitia kazi zao! nilijisikia faraja sana nilipokutana na Naomi Campbell mmoja wa mastaa wa kubwa katika fashion duniani, kutoka hapo nikawa na kiu ya kumeet more celebrities from all over the World, haikuchukua muda Mrefu nikakutana na Star wa filamu Africa Ramsey Noah, Shaggy akafuata na Sasa nimekutana na Ludacris, kila nafasi kama hizi zinapotokea huwa napenda kuzitumia vizuri si mbaya my portfolio ikiwa na picha nilizopiga na Celebrities walifanikiwa kimaisha, Mungu sikiliza maombi yangu niweze kufanikiwa na kuja kuwa role model kwa wale wanaonipenda na kunisupport kwa kile kidogo ninachokifanya hivi sana.

Thursday

My weekend in Arusha

Ona picha kwanza maelezo yatafuta nikiwa nimetulia.