
Monday
Unajua Brad Pit alikuwa Stripper kabla ya kuwa Star?

Beyonce The most powerful Black Woman in the U.S

Friday
Thursday
Celebrities Wanaomiliki Migahawa (Restaurants)
Wednesday
Angeline Jolie Anachukia "Kukumbatiana"
1. Angelina Jolie anatatuu ya herufi H ambayo imechorwa kwa upande wa ndani wa mkono wake wa kushoto, Tatuu hiyo inamaanisha jina la kaka yake aitwaye James Haven Voight ambaye ni mtu wake wa karibu sana.
2.Mwaka 2000 Angeline jolie na kaka yake walizungumzia tetesi za kuwepo kwa uhusiano kati ya wawili hao kutokana na kitendo chao cha kuonekana mara nyingi wakipigana mabusu ya mahaba hadharani kitendo kilichoanzisha hisia kwa watu kuwa wanaweza kuwa na uhusiano wa kimapenzi,Siku chache zilizofuatia James alisema anamchukulia dada yake kama mwanamke kamili, anasema hajaona mwanamke mwenye kuweza kumzidi dada yake huyo mpenzi.
3.Alipokuwa mdogo Angeline jolie alitamani sana kuwa Vampire na alikuwa kashaanza kukusanya vitabu vinavyohusu maisha ya Vampire. Baadae aligundua kuwa ndoto zake ilikuwa ni kuwa muongozaji Mazishi. .
4. Angelina Jolie pia amewahi kusema kuwa Muigizaji wa kike Gena Rowland ndio alimfanya ajiingize katika uigizaji. na Kwa bahati nzuri angeline julie amewahi kushiriki filamu moja na Star huyo katika filamu ya Playing By heart (1998) na Taking Lives (2004)
5. Mama mzazi wa Angelina Jolie bi.Vivienne Bertrand alimchagulia jina yule mtoto wake wa tatu aliyemuasiri kutoka Vietnam, mtoto huyo alipewa jina la Pax
6. Angelina Jolie alijiingiza katika uanamitindo akiwa na miaka 14 na alipotimiza miaka 18 akaachana na modeling na kuingia katika uigizaji.
7. Angelina Jolie’s alionekana kwa mara ya kwanza katika maigizo mwaka 1982 alipokuwa na miaka 7 alipoonekana katika filamu ya baba yake iliyofahamika kwa jina la Lookin' to Get out.
8. Akiwa mtoto, Angelina Jolie alikuwa na nyoka wawili aliyowaita Vladimir na Harry Dean Stanton. Kuweza kucheza na Nyoka toka akiwa mdogo kulimwezesha kuweza kucheza vizuri katika filamu ya ALEXANDER
9. Jolie ni shabiki mkubwa wa Liverpool Football Club hii ni kutokana na mwanae Maddox kutaka kuchezea timu hiyo
10. Angelina Jolie Hana mwandishi wa habari au mzungumzaji wake, anafanya kila kitu yeye mwenyewe bila msaada wa afisa mahusiano.
Na kubwa kuliko zote Angeline jolie anachukia sana swala la kukumbatiana. anasema hapendi kabisa kukumbatiana na mtu yoyote.
Fight For Sight Charity Gala 2011 @ Movenpick
Monday
Dina Marios umenigusa na hii Post on Your Blog
Mara kadhaa wadau wengi huniuliza ninawezaje kuvumilia maoni ya watu wachache wenye matusi na kejeli juu yangu!?
Definition ya mtu mwenye maoni kama haya kwanza ana msongo wa mawazo,ana matatizo yake mwenyewe ila kwa sababu hawezi kudeal nayo anatafuta wapi pa kutolea hasira zake.Kwa nini si mtu mwingine ni mimi?ni kwa sababu nini ni threat kwake.Kama angekuwa better than mimi bila shaka asingekuwa hata na muda wa kutoa comment za matusi.
Pia hajiamini hivyo anatafuta mtu wa kumshusha ili aweze kulingana na yeye kihisia.Kama angekuwa anajiamini sana basi angeweka jina lake tumjue.
Maoni ya ku-critisize yanaruhusiwa ila yanapokuwa ya matusi tena yasiyo na sababu inaonyesha mtu huyu ana ugonjwa wa akili.
Unaponiita mnene kama pipa,tinginya sijui vitu gani kwani nina kilo 100,200,300!!!una uhakika huko kwenu hakuna watu wanene??ndugu zako jamaa zako??
Pls wale wenye comment za hivi waoneni phsycologist mapema kwa ajili ya councelling kabla hamjapata matatizo.Its not healthy at all au ongea wadau wakusaidie kimawazo.
Mwisho namaliza kwa kusema nahitaji sana challenge/changamoto kutoka kwako na sio matusi.
Sunday
Ludacris Design kakopi Swagger za B12 katika Serengeti Fiesta 2011

Friday
Ludacris akasign kitabu cha wageni kutoka Hollywood niliokutana nao
