FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Friday

Tanzania One: Millen (Happiness) Magese

One of the Finest Supermodels from Tanzania
Featured not only in International Magazine but Runways As well
Truly Tanzanian Kilimanjaro Flag



Thursday

Bongo "Untouchble Gaga" Fiderine Iranga

why her? Being untouchble means una zaidi ya kile kilichozoeleka!! when we talk about Gaga tunaongelea ubunifu anaoutumia katika maisha yake ya kila siku kumake headline na kusimama as a brand,Why nimeamua kumuita fiderine Bongo Untouchble gaga?? ni kutokana kuibuka lindi la watu kibao wanaojiita magaga!! no matter umetokea wapi na reason gani umetumia kujiita gaga Fiderine atabaki kuwa Gaga tena untouchable gaga
Because she is a fashion Risk taker!! hajali yuko wapi na nani as long as anataka kuvaa anachokivaa atavaa!! huko ni kujiamini alikonako Gaga na kwa bongo mwenye uwezo huo ni fiderine Iranga peke yake
look at her style na mabadiliko yake kutoka makeup mpaka mtembeo!! She is Bongo untouchble Gaga

Saturday

Swahili Fashion Week yatimba Arusha: Lets Rock


ARUSHA FASHIONISTAS, HERE WE COME.................FOR THE FIRST TIME IN ARUSHA. THE BIGGEST FASHION EVENT IN EAST AND CENTRAL AFRICA, SWAHILI FASHION WEEK, WILL MAKE ITS DEBUT FASHION SHOW AT THE NEW MOUNT MERU HOTEL ON 8TH OCTOBER FROM 8:00 PM ON WARDS

COME ALL AND ENJOY THE CREATIVITY OF EAST AFRICAS BEST AND FINEST FASHION DESIGNERS.

TICKETS ARE AVAILABLE AT THE NEW MOUNT MERU HOTEL SO GET THEM NOW!
FOR MORE INFORMATION VISIT…WWW.SWAHILIFASHIONWEEK.COM, FAN US ON FACEBOOK AND FOLLOW US ON TWITTER

ENTRANCE IS 20,000 FOR NORMAL SEATING AND 40,000 FOR VIP.

SWAHILI FASHION WEEK 2011- ARUSHA SHOWCASE IS PROUDLY SPONSORED BY MOUNT MERU HOTEL, EAST AFRICA RADIO AND TV, AMARULA , SOUTHERN SUN DAR ES SALAAM, PRECISION AIR, REDD’S ORIGINAL, IMAGE MASTERS, GLOBAL OUTDOOR SYSTEMS AND 361 DEGREES

BOOK YOUR TICKETS NOW: CALL 0714313031 OR EMAIL info@swahilifashionweek.com

Thursday

Maridadi Fashion Show 23rd Sept Produced By Martin Kadinda

Designer From Arusha
Maya Vintage
Designer From arusha
Faroque Zanzibar
Faroque Abdela Zanzibar
Designer From Arusha




Kazi ya Designer Ally Remtulah

Maridadi Fashion Show Launching Party

Cloudstv walikuwepo kupata mawili matatu
Legendary Faroque Abdela alikuwepo katika party! its always a great pleasure Working with this man
Shukrani za dhati kwa mmoja wa wana Maridadi show for the great hospitality aliyonipatia mimi na Models wote
Top Model in Dar Es Salaam Giver meena, just fresh from Dar.
The Super male model Daxx
Designer Ally Remtulah With Lilian Bulengo

Hayaa Bata Ndefu ya Dj Waxx

Ni tar 30, kitu ndani ya Kempisky Hotel:saa 4usiku mpaka saa 10 usiku... tunakwanjua tu kwakwenda mbele

Wednesday

Speak To My Eyes: Models



Nimezibamba: Pata muonekano





Rihanna afanya Kioja Wakati wa kurekodi video yake Mpya ya "We found love"

Weekend iliyopita mwanadada Rihanna alimshangaza mmliki wa shamba ambalo alikuwa natumia kurekodi video yake mpya!! wakati wa urekodiji wa Video hiyo mwanadada Rihanna alionekana akiwa amevaa siiria na shati kubwa wa juu huku sehemu ya chupi yake ikionekana, Swala hilo lililmshangaza mmliki wa Shamba hilo bwana Alan Graham 61
Akiwa mwenye mshangao Alan anasema sikujua kama kuna swala la nguo za ndani kuonekana katika hili swala, lakini Rihanna aliona ni jambo la kawaida yake
Video hiyo ambayo iliwapa polisi ya ziada ya kuzuia mashabiki waliokuwa wamejazana eneo hilo la kurekodia wakitaka kumuona tu rihanna na hata kupiga naye picha, hata hivyo ilimchukua rihanna dakika 20 tu kuhakikisha anaweka mambo sawa na kuwashukuru mashabiki wote waliyojitokeza eneo lile, alisema " Naipenda Belfast na nawapenda wote, asanteni sana"

Tuesday

Ile Video niliyoiandikia Script si ndio hii hapa sasa?Bob Junior a.k.a. Sharobaro - Nanini : Tanzania best Music of Bongo Fleva

She is A very Hard Working Woman:Jennifer Lopez shooting Papi music video

Tatoos


Kila Kijana Sikuhizi nimeona anakiu ya kuchora tatooz katika mwili wake!! nashindwa kuelewa sababu kubwa ya kukufanya kuchora tatooz ni nini? ni kwakuwa umeona watu wamechora wamependeza na wewe unataka kuchora? or there is specific reason to do so??

Kama kweli we ni mpenzi wa tatoo na undhani ina umuhimu katika maisha yako hakikisha unakubaliana na watu wako wa karibu swala la size na eneo gani la kuchora, kumbuka tatoo will stay in your body for the rest of your life, usije ukajichora leo na baada ya mwaka mmoja unaanza kujutia!!
Ni hilo tu nililotaka kujuzana na wewe mwenye ndoto za kujichora tatoo mwilini mwako