FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Tuesday

mtambue Chanel Iman.... model anaewika duniani



Chanel Iman is a Korean/African-American model from Atlanta, USA. Iman walked down the runway for the first time in the Fall/Winter 2006 season for fashion brands like Custo Barcelona and DKNY, since then she has modelled for top brands like Dolce & Gabbana, Issey Miyake, Kenzo, Marc Jacobs, Marc by Marc Jacobs, Stella McCartney, Valentino, Bottega Veneta, Dsquared2, Hèrmes, Moschino, Oscar de la Renta and Stella McCartney.




She was born in 1989

vimwana wa Kinondoni na Temeke 2009


Tatu bora ya miss kino




tatu bora ya Miss temeke

Sunday

My designs on miss kinondoni!!



HII NI MOJA YA NGUO NILIZOZIBUNI, MREMBO HUYU ALIVAA VAZI HILI KATIKA VAZI LA UBUNIFU WAKATI WA KINYANG'ANYIRO CHA MISS KINONDONI




SEE THE COLOUR, AND FIL ABOUT IT!!



OPENLY AM HAPPY WITH MY WORK, THANX TO MISS KINONDONI COMITEE FOR CHOOSING ME AS THEIR DESIGNER!!

Wednesday

Mtambue mkali Wa XXL ya Cloudsfm



Anatambulika kwa jina la B12,
lakini jina lake kamili ni HAMISI MANDI,
ni mtangazaji wa kituo cha redio na TV,
Mwendesha shughuli(MC),
AMEJIUNGA NA CLOUDSFM MNAMO MWAKA 2003,
YEYE NDIYE UNAYEMSIKIA KATIKA XXL KILA SIKU YA WIKI,

NI COPY WRITTER NA PIA ANAFANYA VOICE OVER!!



Ni Moja kati ya Tatoo zilizo mwilini mwa B12

Tuesday

JICHO LA UKWELI WIKI HII


KWELKI NIMEAMINI DADA YETU MALIA OBAMA HAACHI ASILI , TUMEMFUMA AKIWA NA MWITA MTOTO WA MZEE MARWA


WEE?? UMELALA KAMA SUNGURA AU NDO MA ARTITUDE YA UMODO?


KWELI WANAMITINDO HAMNA AIBU!!


SHARTI MAUZO YAFANYIKE BABU WEE! HEBU TUFOTOE!!



YOUNG CELEB!!

MBUNGE MTARAJIWA NA FASHION POLICE

MISS INTERNATIONAL 2009


AKITOKA BUNGENI


AKIKATIZA MAENEO MBALIMBALI KUANGALIA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO

Monday

InterCollege top Model winner


HELMAN S. ABBAS

Ni mwanafunzi Wa chuo kikuu mlimani the Main campus na ndiye aliyeibuka mshindi katika shindano la Intercollege Top model

Wednesday

HERE SHE CAMES AGAIN!!

LIGHT,CAMERA!!!! STAND BY!!! ACTION.................

THE SONG WRITER AND SINGER , TANZANIAN DIVA LADY JAY DEE COMES WITH HER NEW VIDEOS!! THOSE ARE SOME PICTURES DURING VIDEO SHOOTING!!
UKO JUU JiDE!

Monday

jicho la Ukweli

Oh!! brothers downhere!! smile and eye contacts talks alot!! nawapenda sana wanamitindo wetu chipukizi kwa kuwa wanajua kuuza sura zao


Hope you know who is this? She has her own style and jicho la ukweli lilimnasa sehemu akjivinjali
I DO LOVE HER!! She is an intertainer!!



TUKUTANE WIKI IJAYO KATIKA JICHO KA UKWELI

JUST lyk heaven


Do u know how it feels being near her? Tanzanian Diva, the owner of machozi Band and much more the milioner singer and song writer in TZ!! only lucky people got this special chance!! Thanx Jide!!


Sundays @ Thai village masaki
Surtadays @ Sweet eazy masaki
More details visit; www.ladyjaydee.blogspot.com

dar indian ocen yapata kifaa


Walitufungulia sho kwa single ladies ya Beyonce! do u think they are single?


tukawaona ndani ya everning dresses!! walinoga sana! and then....


Sanda is now a miss dar indian ocean! am very proud of her because she worn my dress

Sunday

THINK ABOUT THE COLOUR, AND FEEL ABOUT IT!


GIL ON LEFT, MY FIANCEE JULIE AND ME ON RIGHT

Thursday

Komandoo!


BINTI MACHOZI UKIPENDA MWITE KOMANDOO ANA KUKARIBISHA KUTEMBELEA BLOG YAKE! HAPO UTAPATA NAFASI YA KUJUA NINI KINAENDELEA KATIKA DUNIA YA MWANA DADA HUYU!

NAMKUBALI KWASABABU, HAKUNA HATA SIKU MOJA UTAKAYO UDHULIA SHOW YAKE IWE NI THAI VILLAGE, SWEET EASY AU SOMETIMES GIRAFFE VIEW HOTEL UKABOREKA!! MARA ZOTE HUWA ANATOA SHOW ZA KUPENDEZA NA KUVUTIA HEBU TIZAMA
Mwinyi Goha anakumbia MTALIMBO
Jide anakuimbia Ewe Njiwa, siku hazigandi au Mapezi yananitatiza.........
Yaani ni burudani, Ndani ya machozi band utakutana na sugua kisigino, kijoti joti!



tembelea blog yake kwa mengi zaidi!!

Wednesday

MAMBO YA KANGA ZA KALE (DIAMOND JUBILEE HALL)

HIVI NDIVYO JIJI LILIVYOTIKISIKA NA SHOW KUBWA YA MAVAZI KUTOKA KWA MADESIGNER WAKONGWE NA WACHANGA WALIPOMUUNGA MKONO MWANA MAMA ASIA IDAROUS

Mheshimiwa Waziri Simba(katikati),Asia Idarous na mumewe kushoto wakifungua Show..

Wadau mbali mbali walijitokeza kumuunga mkono mwana mama Asia Idarous...

wanamitindo wakiwa ndani ya mavazi yaliyobuniwa na Asia Idarous, kama hukuweza kufika kwa kweli ulikosa uhondo ndugu yangu!

Martin na Johari Wakionesha mavazi ya Asia Idarous

Lili model akifanya vitu vyake ndani ya vazi lililobuniwa na Asia Idarous

I real love her! anajua nini anakifanya pale aandaapo show au kualikwa katika show ya designer wenzake. Huyu ni Khadija mwanamboka na wanamitindo wake

Designer; Gymkana and his model

Well talented journalist with her designs! Zamda George (at the middle)


SHUKRANI ZA DHATI KWA WADHAMINI WOTE BILA KUMSAHAU ALLY REHMTULLAH NA KHADIJA MWANAMBOKA WALIOKUWA BEGA KWABEGA KATIKA KUSIMAMIA SHUGHULI HII KUTOKA KWANZA MPAKA MWISHO!

Saturday


LILIAN and MARTIN during kanga nite at DIAMOND JUBILEE HALL 30/4/2009

fidelin iranga, richard,martin and sasha on right side

the black colour is always powerful! Wat about ART within human body??