FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Tuesday

Them Moments!! Me and My camera and Jackline ofcourse

Ieleweke hizi picha ni mali ya martin Kadinda na Jackline Cliff mambo ya kuzifanyia matumizi yenu Binafsi sio ustaarabu!!










Friday

WEEKEND NJEMA

It Kills me that my bro ndo kakuwahi ila natamani Sana ungekuwa wangu, We got so fine girls kwa Tanzania But when it comes to the Word Sexy?? your the perfect Definition for that!! I love you very much my Sweet Shem

She Got Beyonce's Swagger!! and i Got whose swagger??

Last weekend nilipita zangu beach, mimi sio mpenzi wa kwenda Gym na sina mpango nako kwakweli ila who knows? maybe ipo siku nitaanza kuingia Gym, so mara nyingi napendelea kwenda swimming jioni au kama nikiwa free mchana huwa nakatisha baharini kuogelea hata kwa dakika 45,
Juzi nikiwa katika utaratibu wangu wa kwenda beach nilikutana na my good friend Jackline patrick akifanya Photo shoot kwa ajili ya Tangazo la WoolWorth nadhani kama sijakosea, kama mnijuavyo ndugu yenu palipo na kamera ndio kwangu!! nikaingia hapo! kazi ikawa ni moja!! alipomaliza kufanya kazi yake na mimi kaingia kupata picha for my blog!! from kesho nitakuwa nazitupia humu ndani, tuanze na hizi Exclusive

Beach kuna raha yake bana hasa ukiwa na mtoto mkaliiiii on your side!!


Your safe with Me!! hata mawimbi makali yakija nitakukinga katika mikono Salama




i just loved those moments we had that day!!

Sunday

Mtoko Mpya Ulio katika Chati "URBAN GENT"

Rais wa Masharobaro on Set for his New Video (Bob Junior)

Video BY: Adam Juma From Visual Lab (Next Level)
Script of the Video written BY: Martin Kadinda
Wardrobe BY: Martin Kadinda and Styled by Noel Ndale
Hair Style & Make up Supervised BY: Martin Kadinda
Song Name: Nana nini
Produced at: Sharobaro Record
Artist: Bob junior
Kwa mara ya kwanza nimeamua kuandika Script kwa ajili ya Video hii, nadhani hii ni kutokana na msukumo nilionao katika kuboresha video zetu ili ziweze hata kuingia katika tuzo za Kimataifa,
Nimeandika Script ya movie ambayo itakuwa inaonekana ndani ya video hii, nimesimamia muonekano mzima wa bob Junioe kimavazi uonyoaji wa nywele, make up na mavazi ya wasichana wote walioonekana humu, ilikuwa ni kazi ngumu lakini naamini video ikitoka watanzania wenzangu mtapta cha kusema ili kama kunakosa likitokea lisijirudie tena, hii inaweza kuwa moja ya ajira yangu mpya nadhani.
Visual Lab ni moja wapo ya Studio maarufu hata Tanzania na kwakweli nimejisikia Vizuri sana kufanya kazi na Adam Juma, He is a very Understanding Person




Kosa lolote la kiuvaaji atakaloonekana nalo Bob Junior katika Hii Video msimlaumu yeye ila nilaumuni mimi maana ndio nilikuwa nikipangilia mavazi yake, alinieleza tu anataka kuwa Colourful so kwa jnsi nielewavyo mimi huo ndio muonekano alioutaka na katika zote nilizompangia hakuna hata moja aliyoikosoa.

Vipande vya movie itakayo kuwa inaonekana ndani ya Video hi sijviweka ili kukupa hamu ya kutaka kuona hapo baadae video itakapotoka ila jua imemshirikisha Actress mkubwa hapa Tanzania na Imefanyika nyumbani kwa Bob Junior, barabarani na ndani ya Vyombo vyetu vya usafiri (Daladala)...Video ni tamu balaa

Tuesday

Men: Do want to Smell Good and Sexy??

Kila Mwanaume anapenda kunukia vizuri na kuongeza mvuto katika muonekano wake wa kila siku,With thousands of perfume out in the market choosing the right one is a hideous task, lot of smelling and an occasional wasting of your few bucks by buying that perfume that does not suit you, You need to be very careful on this, Hizi nazokutajia hata chini ni Perfume ambazo zimekuwa kivutio kwa wanawake wengi kuwanunulia wapenzi, kwakuwa wewe ni mwanaume mwenzangu nadhani ni vizuri ukizijua perfume hizi na ukaanza kuzitumia mapema kabla haujaletewa kama zawadi na shem na ukaona kama anakukejeli, wakina dada pia mnaoniletea zawadi za perfume mara nyingi si mbaya mkiletea moja kati ya hizi...
Majina yanaonekana Vizuri lakini si mbaya nikikuandikia na kukupa sifa zake japo juu juu.... hii inaitwa Aqua di Gio ni number moja kwa kusifiwa na wanawake, inakaa mwilini kwa muda mrefu na kinachonifurahisha ni mchanganyiko wake ambao umehusisha calabrian bergamot, neroli na green tangerine. Light, aquatic nuances ikiwa na jasmine petal, crisp rock rose, rosemary, fruity persimmon and warm Indonesian patchoul

Bvlgari Extreme (bulgari Hii ilizinduliwa mwaka 1999 na imeweza kufanya Vizuri katika soko la Perfume mpaka leo hii naipa nafasi ya Pili kwa perfume bora zaidi za kiume.

DOLCE & GABBANA Light Blue inaitwa Light Blue ni Product ya Dorce and Gabanna ni nzuri sana tu, kinachonifanya niipende na kwanini imetokea kupendwa na watu wengi, ni Imepoa sana, haina harufu kali, inaheshimu na staha za kiume
Cool Water ya Davidoff Nakumbuka hii niliinunua katika ndege Wakati natoka Zambia, Ukweli sio kwakuwa nilikuwa najua ni nzuri ila nilivutiwa na jina lake na katika ile duty Free hii ndio ilikuwa perfume kubwa lakini yenye bei yenye unafuu, nakumbuka niliinunua kwa dola 45 tu, nilipoanza kuitumia Daah kabla sijatoka home dada zangu tu, Martin u smells good, i loved this perfume so much
Lacoste Red Style in Play hii Pefume ilitoka mwaka 2004 navyokumbuka na hata mitandao inaonyesha hivyo, inakufanya unukie kiujana zaidi hata kama age yako imeenda, pia ina harufu flani kama ya apple la kijani,

Ya mwisho kwa Leo ni Armani code, Kwa wadada this just a Warning For you guys THIS FRAGRANCE IS VERY SEDUCTIVE!!! :)

Monday

Zamaradi Mketema & Martin kadinda

unajua Siku zote nimekuwa nashtukia kuwa napenda picha sana, nakumbuka hadi Lady Jay dee amewahi kuniambia "Martin unapenda picha sana"
Lakini Kadri siku zinazidi kwenda nimegundua picha si ugonjwa wangu peke yangu, asilimia kubwa kati yetu tunapenda picha ila tumeachana na swala hili kutokana na kugundua hatutoki vizuri katika picha.
Leo nikiwa busy napiga zangu picha Dadangu Zamaradi nae si akaingilia kati, basi kazi ikawa ni moja, tumepiga picha weeee mpaka tukamsahau mpigaji picha mwenyewe maana nae alikuja hapa akitaka kupigwa picha
Eneo ni moja ila tu style za macho,mikono na miguun ndo zilikuwa zinabadilika
Mimi napenda picha ila Zamaradi Mketema ni Zaidi yangu.
Cheki mtoto alivyojikunyata utamuuu, raha ya picha hiyo
Nimecolour block a bit today