FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Tuesday

All Diva's in Dar you gat to see these classic shoes!!


Silvia shari i think you need this

zamaradi hiki kitakufaa


dj fetty jiweke humu baada ya kutupia ile skinny jeans yako

Mbonie masimba upo??

Super models... this is yours!!

Mambo ya leather

gray colour can be nice on you

Sunday

One Day nitakuwa na nyumba yenye muonekano wa moja ya picha hizi

Sebule

colours?? not that much...

i loved this!!

zingatia uchaguzi wa rangi kama unahitaji kuwa na nyumba bora

Si lazima kuwa na makochi mengi.. nyumba inahitaji nafasi

Jiko bora

We call it charming kitchen......

Some neutral colour in it

Mwanga wa kutosha kutoka nje

muonekano wa jiko

Dinning rooms





Chumba na kitanda

nikipata mapacha nitawalaza hapa watoto wangu!!

here is where my son will be sleeping

simple and nice bed....

u like it...? i do like it

nafasi ya kutosha na kitanda cha juu kidogo....

si vibaya kuwa na nice wallpaper chumbani kwako.... si unaiona nyuma ya kitanda yenye miti miti.. it looks so really
Bathroom

so clean... hutamani kumaliza kuoga!!

bafu hili liko sawa!!

I-view Media wakichanja Mbuga na Mheshimiwa Rais


Palipo na upenyo mdogo ndipo picha nzuri na yenye mvuto inapopatikana... Best photographer 2010 Raqey mohammed akihakikisha napata picha nzuri ya Mheshimiwa raisi wakati wa kampeni zikiendelea.. mpigaji nae kapigwa....

Kaka wa kazi Raqey,zungu na Erick wakiwa na Ankal katika harakati za kuhakikisha zoezi linakamilika salama

Saturday

Friday

Zamaradi.. into fashion House!!


Kipindi hiki cha mwezi mtukufu.. dada zetu wamekuwa wakijitahidi kuvaa kulingana na mazingira na wakati.. but its too bad wengi wao wamekuwa wakikurupuka na kukosea kile wakivaacho....?? kwanini umevaa? ni wakati gani sasa na uko wapi? zingatia uchaguzi mzuri wa rangi na vazi kama Bi dada hapo juu..

Cha zaidi.. unapaswa kutambua aina ya vazi na wakati wa kulivaa.. si lazima kuvaa nguo pana kwasababu ni mwezi mtukufu... Ila vaa nguo inayoficha maungo yako na kukufanya kuwa confortable popote utakapokuwa..
RANGI: kila ngozi ya binadamu ila rangi zake ambayo inaendana nayo.. zingatia rangi yako na eneo uliopo.. si vizuri kuvaa rangi kali wakati wa mchana, na si vema kuvaa rangi zinazopiga kelele kwa wakati wa usiku ukiwa wewe ni mweusi...
NOTE: nakubaliana na rangi aliyovaa zamaradi.. imezingatia mazingira ya Kipindi Cha Toba.. imetulia kwa wakati wa jioni na imemfanya kuonekana more confident!! am keeping her into a fashion house this Week!!

Thursday

Ist true she is pregnant???


Mashalaah!!

Mguu huo mamaa!!

In a short black dress!!

Akiwa katika Show Brazil......kitumbo!!

Let me talk about Runways


THE RUNWAY IS WHAT ITS ALL ABOUT! SOME MAY THINK THE RUNWAY IS JUST SOME LONG STAGE MADE FOR MODELS TO WALK DOWN AND SHOW OFF THEIR CATWALK. WELL IF YOU BELIEVE THAT YOUR INCORRECT. I BELIEVE IF YOUR A MODEL YOU AND THAT RUNWAY SHOULD SHARE SOMETHING VERY SPECIAL. RUNWAYS ARE CREATED TO SHOW OFF YOUR CATWALK, WORK YOUR PIECE, AND TELL YOUR OWN STORY ABOUT FASHION. MANY OF YOU ARE PROBABLY WONDERING WHAT DO I MEAN WHEN I SAY "TELL YOUR OWN STORY ABOUT FASHION." WELL IT'S VERY SIMPLE MAKE YOURSELF STANDOUT ON THE RUNWAY, NOT OVER DOING IT, BUT YOU HAVE TO SHOW THE DESIGNER YOU LIVE FOR THEIR CLOTHING, AND SHOW THE WORLD THIS A MASTERPIECE. SO, ARE YOU READY TO SHOW THE WORLD YOUR MASTERPIECE? PLEASE FEEL FREE TO POST YOUR BEST RUNWAY WALK ON THE VIDEO LINK ON OUR HOMEPAGE, WE'RE INTRESTED!

Very simple and clean... i like it!!

I love the lighting in it!!

Hapa na Pale....


Kamati changa ya shughuli ya miaka 10 ya jide!!

My girl Nuru the Right ndani ya Sweeden

Diva.. Devotha akipata cofee katikati ya jiji La New York...

Baadhi ya warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2010 wakinunua shanga za kimasai kutoka kwa wauzaji waliopo katika Boma lililopo katika Hifadhi ya Ngorongoro wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo wakati wakiwa katika ziara yao ya kutembelea vivutio vya Utalii vilivyopo Mikoa ya Kaskazini, ikiwa nbi sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani

Wednesday

Kibunduki Cha Jide... kimenikosha


Nimependa confidency ya di dadaa.. Diva wa Tanzania..Judith Mbibo.. umeona kibundiki hicho cheupe hapo?? kinakushika kisawa sawa miguu

Tuesday

Fahari Ya mwanamke wakitanzania kutoka kwa Farha(FAAZ Designs)


they are so cool.. wadada hebu jaribuni na muone tofauti!!

Sweet color!!

Well Covered

so soft....

Uzuri wa kanga ndani ya lingerie