FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

Tanzanian female models who made to the Top

Teddy K.
1.
Sexilicious Queen.......




2.Millen(Happiness)Magese



Best of the Whole time......


3.Miriam Odemba




Fashionistar........ the one one in Beaty Queen in dar


4.Lavvy Matata

TOMMY HILFIGER


Catwalkin in New York now.....




5.Vivien Marks


True tanzanian Lady with natural african beauty lives in Spain..



6. Nancy sumary

Nancy sumary as sweet as Love feelings!!

Cheka kwa Step!!

Pindi dawa za kichina zinapokukataa!!





When a man is fed up…….

kinachofuata??

Saturday

who made my Days last Year

Fashion for Fun


nilikutana na mtoto stajini .... akawa kanuna kichizi.... katika kujisachi sachi nikajikuta na condom.. He? yule binti kuiona si akanirukia kwa furaha??


Nikambeba na kusepa nae!! yaliyofuata tusiulizane jamani.....

Mvutokwanza magazine cover....


Me and my baby tutauza tukiwa katika Cover ya Toleo la mvuto kwanza??



Jamila nyangasa mmoja wa wanamitindo wakubwa tanzania..... vipi akiwa cover girl atauzaaaa?

Friday

natural Beauty in Her


Judith Wambura ni mmoja wa wanamziki wakubwa hapa nchini kwetu tanzania kwa kiasi kikubwa ameitangaza nchi yetu kupitia burudani ya muziki... unakumbuka ni kwa mara ngapi amesafiri kwenda nje ya nchi akiwa na bendera ya tanzania katika nguo aliyaa au hata hereni zake au kitambaa alichoshika...
Hivi kweli vyombo vyetu vya habari zinashindwa kumuheshimu na kumpa nafasi ya kuishi maisha ya Raha.. kuugua kwa Jide imekuwa sababu ya kufanya gumzo la mji? hivi kweli sheria za habari hatuzijui au tunazifungia macho? JAY DEE'S SICKNESS IS THE PUBLIC INTERESTED?? AND PEOPLE THE HAVE A RIGHT TO KNOW? haya si ni maisha yake binafsi? mmemtafuta mzungumzaji wa msanii huyu na kumuuliza? Wengine wanasema ni TAJIRI MCHAFU... anamiliki swimming pool nyumbani kwake... mmeenda mkaiona hiyo swimming pool??tusiandike tuu ili kuuza gazeti ila tufikirie maumivu mnayompatia dada Yetu huyu na mashabiki wake wanaompenda na kumjali.... anafanya kazi sana.. siku tatu kwa wiki ni tatizo?? mbona mko maofisini wiki nzima na hakuna anayewauliza? Tusifike huku tunakotaka kufika kwa kukimbia kabla hatujatambaa .......

Pole Wale wote mlioniandia hii inaonesha ni jinsi gani mmeumia na Khali ya hewa ya Media yetu!!

Lady Ga Ga gone Ga ga on Brit Awards


Right before the show Lady GaGa opted for another larger-than-life wig with pale fuchsia bows decoration. Though the wig looked cheap and ugly I loved her comb-style brown shades and her leopard printed coat. Really fierce!


Lady of all wigs, Lady GaGa, was center of attention at Tuesday’s 2010 Brit Awards turning heads and winning tabloid headlines due to her surreal fashion and daring style choices.

Prior to the show Lady GaGa was seen leaving her London hotel in a big blonde wig and spike-decorated jacket. Pairing the look with black fishnet tights, sky-high platform booties and John Lennon-inspired shades she looked quite fierce battling the London cold in a motley shirt worn as a dress.


Thursday

Big Names to Be Seen!!



Rommy jones ni mmoja kati ya vijana machachali wenye nia ya kuleta maendeleo katika tasnia nzima ya burudani!! ni mwanamuziki na pia amejikita zaidi katika luninga hivi sasa! ni moja wa vijana wanaotegemewa kutingisha jiji pindi Cloud Tv itakapo anza kurusha vipindi vyake mapema mwaka huu!!


Lets wait ang See

Jamaa ni photogenic pia eh?

Monday

divalicious in Tz


Looking sooooooooooooo Good!!

Most talented model 2008-2009 Met Miss Tanzania 2007


Katika pita pita zangu nilifanikiwa kukutana na miss 2007 ambae anasifika kwa kutokuwa na skendo!! i love her for realy!! She is a very nice chick and i wish ningemfanya awe mke wangu!!

Thursday

Designer anaetamba South Africa

Anajulika kwa jina la David Tlale ni moja kati wa wabunifu wakubwa nchini south africa na anajivunia kazi ya mikono yake!! Alikuwepo nchini Tanzania mwishoni mwa mwaka jana katika onyesho la SWAHILI FASHION WEEK na kunauwezekano mkubwa akaja nchini tena mapema mwaka huu!!






Go... David Tlale

Monday

wadau tunapokutana katika Red Carpets


Zungu and Neema during Lady in red Fashion Show


Red carpet during Redds night of Unique and stylist!!


Steped in a Red carpet during Asia's Lady in Red fashion show


Met mama wa Tanzania mitindo house

Best couple in Town award goes to.......................

Mr& Mrs Raqey mohammed





Wife: Stylist, make up artist and director of Summer mix Collection



Husband: Fashion photographer and Director of I view Media



Kuna safari ndefu mpaka kuja kupatikana another couple kama hii... maybe the next one will be mine

mvutokwanza Design on Lady In REd


Silvia Shari Miss Ilala 2008-2009 catwalking during lady in red... and the dress was Designed by Martin k.

Me and her

Sunday

Huyu Hapa


Baada ya mbio ndefu ya viatu virefu wanamitindo wa kitanzania wameamua kuanza maisha mapya ya ndoa na kuishi kama mam wa familia..... Felician ndio alikwa model wa kwanza kufunga ndoa, akafuatiwa na Carolyn Peter (Smilling faces). Lilian au Aimar kama anavyojulikana sasa alifuata na habari nzuri zaidi ni Prisca(Malkia wa mwendo wa paka) Ameamua kuachana na ukapela na mapema mwezi huu anatarajia kufunga ndoa!!

Mvuto kwanza inamtakia Prisca maisha mema ya ndoa ....... Bravo?? Sasha na wewe lini??

New Face Of Africa 2010


Twety-two years old zambian model Lukundo Nalongwe was crown as a face of africa this year