FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Wednesday

Mtambue mkali Wa XXL ya Cloudsfm



Anatambulika kwa jina la B12,
lakini jina lake kamili ni HAMISI MANDI,
ni mtangazaji wa kituo cha redio na TV,
Mwendesha shughuli(MC),
AMEJIUNGA NA CLOUDSFM MNAMO MWAKA 2003,
YEYE NDIYE UNAYEMSIKIA KATIKA XXL KILA SIKU YA WIKI,

NI COPY WRITTER NA PIA ANAFANYA VOICE OVER!!



Ni Moja kati ya Tatoo zilizo mwilini mwa B12

Tuesday

JICHO LA UKWELI WIKI HII


KWELKI NIMEAMINI DADA YETU MALIA OBAMA HAACHI ASILI , TUMEMFUMA AKIWA NA MWITA MTOTO WA MZEE MARWA


WEE?? UMELALA KAMA SUNGURA AU NDO MA ARTITUDE YA UMODO?


KWELI WANAMITINDO HAMNA AIBU!!


SHARTI MAUZO YAFANYIKE BABU WEE! HEBU TUFOTOE!!



YOUNG CELEB!!

MBUNGE MTARAJIWA NA FASHION POLICE

MISS INTERNATIONAL 2009


AKITOKA BUNGENI


AKIKATIZA MAENEO MBALIMBALI KUANGALIA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO

Monday

InterCollege top Model winner


HELMAN S. ABBAS

Ni mwanafunzi Wa chuo kikuu mlimani the Main campus na ndiye aliyeibuka mshindi katika shindano la Intercollege Top model

Wednesday

HERE SHE CAMES AGAIN!!

LIGHT,CAMERA!!!! STAND BY!!! ACTION.................

THE SONG WRITER AND SINGER , TANZANIAN DIVA LADY JAY DEE COMES WITH HER NEW VIDEOS!! THOSE ARE SOME PICTURES DURING VIDEO SHOOTING!!
UKO JUU JiDE!

Monday

jicho la Ukweli

Oh!! brothers downhere!! smile and eye contacts talks alot!! nawapenda sana wanamitindo wetu chipukizi kwa kuwa wanajua kuuza sura zao


Hope you know who is this? She has her own style and jicho la ukweli lilimnasa sehemu akjivinjali
I DO LOVE HER!! She is an intertainer!!



TUKUTANE WIKI IJAYO KATIKA JICHO KA UKWELI