FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Wednesday

Mtambue mkali Wa XXL ya Cloudsfm



Anatambulika kwa jina la B12,
lakini jina lake kamili ni HAMISI MANDI,
ni mtangazaji wa kituo cha redio na TV,
Mwendesha shughuli(MC),
AMEJIUNGA NA CLOUDSFM MNAMO MWAKA 2003,
YEYE NDIYE UNAYEMSIKIA KATIKA XXL KILA SIKU YA WIKI,

NI COPY WRITTER NA PIA ANAFANYA VOICE OVER!!



Ni Moja kati ya Tatoo zilizo mwilini mwa B12

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie