FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

SMILING FACES WAMWAGA TUZO

TUZO INA RAHA YAKE
Mtangazaji wa kituo cha Luninga cha East Africa cha Jijini Dar es Salaam, Maimartha Jesse jana amepewa tuzo ya Mtangazaji Bora kwa kipindi cha mwaka 2008 mpaka 2009 na kampuni ya mitindo ya Smilling Faces baada ya kufanya vyema katika taaluma hiyo na kupigiwa kura nyingi kupitia kampuni hiyo.

Mai alikabidhiwa tuzo hiyo mbele ya wanahabari katika Ukumbi wa Idara ya Habari, (Maelezo) hapa jijini. Ukiacha mtangazaji huyo mwingine aliyekabidhiwa tuzo na kampuni hiyo ni Martin Kadinda ambaye ametunukiwa tuzo ya mwanamitindo bora wa kiume mwenye vipaji zaidi
2008/2009.


NI MPANGO WA MUNGU KUWAONYESHA WATANZANIA KAMA UKIPAJI1 HIVYO NAMSHUKURU KILA MDAU ALIYETAMBUA NA KUTHAMINI KAZI ZA WANAMITINDO! HII SI KWANGU TUU BALI KWA WANAMITINDO WOTE NA KILA MTANZANIA MWENYE KIPAJI1 USISITE KUFANYA JAMBO JEMA KWA MANUFAA YA JAMII INAYOKUZUNGUKA, LEO NI MARTIN KADINDA KESHO UTAKUWA WEWE! GO FOR IT; MARTIN KADINDA

Maimartha akinadi tuzo yake! hongera sana

NI JAMBO JEMA KUMSHUKURU MUNGU PINDI AKUJALIAPO MAMBO MAZURI! SIKUTEGEMEA KAMA IPO SIKU WATU WATAGUNDUA NA KUTHAMINI KIPAJI CHANGU: MAIMARTHA JESSE


RICHA KWA HISANI YA GLOBAL PUBLISHERS{RICHARD BUKOS}

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie