FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Saturday

Waliong'ara!!!


Nansi Sumary alipoteza mbaya katika Red Carpet... the dress was wow with alot of Details...


Nipo Ki MJ zaidi...



It's Yo boy!! Jr



Romeo Has Alot for u, Stay tuned for unTold flaver


zamaradi: Ali kiba vua bwana miwani nikuinterview...!! ukiziba macho unakatisha stimu


Lisa Jensen, Ali rehmtula na Jackline waling'ara tu


Kulia(Mully B) alikuwa simple but Smart!! aling'ara na machizi wake...


How Do i look with my new hair Do?


Hata usiposema, tunajijua tunang'ara!! au sio Salma?


Mishi bomba with her Hair Do!!


First Lady wa I-view photography akiwa na shamimu wa 8020, walinoga hao!!


Mshindi wa Face of TZ kwa mwaka jana amerudi nchini ili kukabidhi taji kwa mshindi wa mwaka huu.... naye aling'ara sana na watu wake wa karibu


Host wa Tv Shows mwenye ndoto za kufanya mapinduzi(Zamaradi) Aling'ara ile mbaya na Young Movie Star Elizabeth


Tv Presenters Waling'ara ile mbaya...
From left Babuu wakitaa, Romeo na Jr for real


Usiponiweka katika blog wewe.....


Not that Much!! i dont know what happened....?


The most atractive Model wa mwaka 2008, Belina nae aling'ara sana na rafiki zake!! Her hair style was Great!!


Flaviana na Best friends waling'ara kwa Jinsi walivyopenda wao!


Familia ya Sandra mabeleka Mpo juu sana!!


Nilikuwepo pia!!



Sipendi Shobo!! nitawazungua!!! cant u see am bussy?



KUTOKANA NA KUBANWA NA OTHER MAJUKUMU NITAWALETEA MORE PICTURES SOON

7 comments:

  1. Anonymous06:11

    watu wanapendeza jamani mitoko ya usiku, na babuu amekuwa presenter? since when na ni kituo gani cha Tv?

    ReplyDelete
  2. Anonymous06:15

    Zamaradi anang'aa ile mbayaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  3. alice06:20

    ali kiba alivaa miwani ya nini usiku? na huyo Eliza ni nani yake? are they dating? ila wamependeza sana

    ReplyDelete
  4. Anonymous06:26

    Romeo?? suprises? lets wait

    ReplyDelete
  5. Anonymous06:29

    belina umeachana na umodo maana siku hizi hatukuoni stejini

    ReplyDelete
  6. NAOMBA MNISAIDIE HIVI WANAUME NAO WANAUWA MODO ILI IWEJE JAMA? KHA!!!

    ReplyDelete
  7. kwanza mimi naona wana tabia mbaya sana, yaani wanaume wazuri hivyo wanakaa na kujivalisha vinguo vya kuwabana wanajidai vi-modo, hv hizi tabia zimetoka wapi jama???

    ReplyDelete

sema tukusikie