FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

THIS IS TOO MUCH SASA...... APART FROM EVERYTHING WEMA SEPETU HAJAFIKA HUKU....

KATIKA PITAPITA ZANGU NIMEKUTANA NA HII STORI MTANDAONI link ETI WEMA SEPETU ATAPELI LAPTOP... KWELI KABISA MTU UZUSHE JAMBO KAMA HILI? TUNAKOELEKEA BASI UTASIKIA AMEMTAPELI RAISI WA NCHI.... HIVI KWANINI BINADAMU HATUWEZI KUWAONEA HURUMA BINADAMU WENZETU.... BEING MANGER WA WEMA SEPETU ITS NOT KUWA NAPATA CHOCHOTE, AM JUST THE SAME MARTIN MWENYE MAISHA YA KAWAIDA KABISA KAMA MTANZANIA MWINGINE THE ONLY THING ILINIFANYA NIFANYE KAZI NA WEMA WAS THE REALITY. UKWELI ULIO WAZI.. WEMA NABAHATI YA KUPENDWA NA WATU SANA SANA NA NIKAGUNDUA KUNA MENGI ANAWEZA KUYAFANYA KUPITIA FAME YAKE, THATS THE REASON I MADE SURE ANASEHEMU NZURI YA KUISHI, GARI ZURI LA KUTEMBELEANA NA REALITY SHOW INAYOANZA MWISHONI MWA MWEZI AUGUST... NA KUFANYA NAE KAZI NIMEJIFUNZA MENGI.. WEMA LOVES ATTENTION, VERY MUUUUCH AND KIUKWELI ANAUMIZWA SANA NA SKENDO ZAKE MWENYEWE... KWAKUWA ANAFANYA MENGI MAZURI LAKINI YANAYOJULIKANA NA KUUZWA NA MAGAZETI NI MABAYA AMBAYO AMEYAFANYA KUTOKANA NA JAZBA AU MAZINGIRA ALIYOPO. KWA ASILIMIA MIA MOJA NAWEZA KUSEMA WEMA HAYUPO VILE MAGAZETI YALIVYOMPOTRAY... REALITY SHOW YAKE IKIANZA MTAAMINI MANENO YANGU...  BACK TO HAYO YA UTAPELI WA LAPTOP.. SIJAWAHI KUSIKIA SWALA LA KUOMBA LAPTOP KWA YOYOTE KWASABABU SIPO NAE MUDA WOTE AU MAYBE KWAKUWA NAJUA SIO MPENZI WA LAPTOP KIUKWELI... SASA LEO HII NAKUTANA NA STORI ETI AMETAPELI NA MIMI NIMEKUWA NIKIZUNGUMZA NA WAMILIKI WA LAPTOP HIYO.. WE KAKA SIJUI DADA NI LINI UMEZUNGUMZA NA MIMI SWALA LA LAPTOP HEBU MUOGOPE MUNGU WAKO BASI... I TRULY HATE STUDIP PEOPLE WHO TAKES ADVANTAGE OF OTHER PEOPLE JUST TO MAKE THEMSELVES HAPPY.... WEMA WILL ALWAYS BE WEMA KWA WEMA WAKE NO MATTER WHAT.... U BETTER TRY HARD TO BEAT HER UP MAANA SHE AINT JOKE.


16 comments:

  1. Anonymous02:16

    duh jamani wamezidi kweli wamuwache Wema miaka miaaaaa

    ReplyDelete
  2. Anonymous03:36

    Hata waseme nn kuhusu Wema hawatoweza kumpoteza kwa lolote lile. Bnafs nampenda sn huyu dada, huwez amin Martin yn hd naota naongea nae. Nampenda nampenda sn Wema Sepetu.

    ReplyDelete
  3. Anonymous14:26

    POLE WEMA
    PEOPLE WILL ALWAYS SPREAD ROMOURS ABOUT YOU.
    PEOPLE WILL ALWAYS CAUSE DRAMA INVOLVING YOU.
    BUT THE ONLY THING YOU CAN DO IS RISE ABOVE THEM AND SMILE WEMA.
    KWA ANAYE MJUA WEMA KAMA WEMA ATAWAONA WAPUMBAVU TUU WANAOTAKA WAONE KAANDIKWA GAZETIN KWA .
    USIJALI DEAR PENYE MANUFAA NDO WENGI HUPAANGUSHA
    MUNGU YUKO NAWE
    FRM SWED

    ReplyDelete
  4. One of the criteria used by KANJANJAS to write WEMA is that she has the so professionally called NEWS VALUES. That is wht commonly used by the media allover. Some of the values are like IMPACT in the society, PROMINENCE, PROXIMITY and all that. So when u tracy the way WEMA has been living in our society u can realize that it unquestionable fact that WEMA does much more than a president, dats why one of the very serious newspaper in Bongo published a story dat out of every 10 HIGH SCHOOL students 8 of them know WEMA bt dont know a minister for Education and vocational training. Move on WEMA

    ReplyDelete
  5. Love this girl hata jana I featured her on my blog.Wema is a public figure so people will always talk.You are doing a good job as a manager and a friend so you guys do what you do best.

    ReplyDelete
  6. Anonymous23:14

    pole sana Wema. Mie hata sijawahi kukuona live nakuona tu kwenye media ila nakupenda sana hata waseme nini wewe umtumaini mungu wako tu; unajua ukianza hatua moja ya mafanikio watu watatamani kukurudisha nyuma ili wafurahie kuanguka kwako. Hiyo ya tapel laptop??? ni feki commedy show!! Wema utabaki kuwa wema miaka mia naneeee! Iga ufeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  7. Anonymous01:58

    Yani mie ndo wakiandika kitu chochote kibaya kwa Wema ndo nazidi kumpenda, Wema aibe laptop? akiitaka mbona wala haifuati dukani? italetwa hadi mlangoni, acheni kumuonea mtoto wa watu jamani..na Wema unawalaza wengi macho mdogo wangu yani inabidi ujidai sana..maisha ya watu bila kukutaja hayasogei, utadhani unatembea na pumzi zao, endelea hivyohivyo uzidi kuwashika dogo..me penda wewe vibayavibaya..nilikutanaga na wewe ulikuwa na martin mlimani city nikakwambia nakupenda sana na nataka u-rise mtoto mzuri..wapelekeshe hadi wafeeee

    ReplyDelete
  8. Nimeipenda hii wema will always be wema kwa wema wake,hatampake nini mwenyota ya kun'gaa atan'gaa Tu,me teamwema

    ReplyDelete
  9. Anonymous10:43

    Kazi za WEMA MARTIN SIO VIZURI kUTUFANYIA HIVI

    ReplyDelete
  10. Anonymous10:48

    Irene Uwoya muigizaji kazi tunaziona mitaani tunafurahi,same to Jackline Wolper,,,,jamani mamaangu Wema lol!!!!yani tunaumia mashabiki hadi bac,,,maana mtu unazunguka hata maduka ishirini labda utabahatisha kuona kazi mpya ya WEMA wapiiiiii!!!!!!haaaaa mbona tunakoma!!!tutaipata fresh tunaompenda khaaa!!!!natubore bwana,,,

    ReplyDelete
  11. Anonymous15:04

    ashukuru hilo jina angeitwa sinawema hiyo bahat yakupendwa angeitafuta kwa sangoma awe anajistiri kupendwa sanaa iko siku utachukiwa sana jirekebishe ili upendwe ushauri wa bure

    ReplyDelete
  12. Anonymous01:13

    Yaani martine mimi saa nyengine natamani ningekuwa body guard wake wa sili kumanin hata tindi kali ingekuwa cha mtoto. Maana mijitu mengine ukifikilia sana kimaisha unaweza hata kufa maskini kama amina chifupa wangu. Embu mmuache huyo dada jamani afanye mambo yake. Mikundu yao hao wanaolopoka hovyo ndio hao mama zao wanatiombwa hovyo hovyo na watoto wadogo hapa mjini. Yaaaaaaani kumamake mimi nnasila cause mijitu mingine utakuta mijanamume lakini kama inapokea siku dha eziiii kumamayoooo zao woteee wanaomchukia wemaaaa

    ReplyDelete
    Replies
    1. Anonymous04:48

      Sasa ww mbwa kutukana hivyo ndo unamrekebisha nani??pumbavu zako..na ww kadinda unaachjiaje msg za matusi hivi?/kisa anatetewa boc wako ebo??mnakurupuka kuanzisha blogs bila kujua maadili ya uandishi

      Delete
  13. Anonymous23:55

    Wema atabaki kuwa wema hat waseme nini tunakupenda mamii watu wengine wameumbwa hivyo usiwajali hao ipo siku nikija dar nitapenda kumuona wema jamani hata kumgusa tu martin weweeee acha nitahadithia mbeya yote nakupenda sana wema wa ukweli achana naooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  14. Bongo kwa kuyazua hapo ndio asilimia zote, Wakuache mtoto wa mwanamke mwenzetu

    ReplyDelete
  15. Anonymous08:11

    herufi ndogo plz..

    ReplyDelete

sema tukusikie