FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Saturday

Tanzania Red Riborn Fashion Gala 2010 with Flaviana matata Raised 24mil

Our own TMH ambassador doing her thing!!You rock Flaviana matata!!
Not only Acting.... even modelling anaiweza...Hemed
Not only singing... modelling ndio imemtambulisha katika anga ya burudani!! Mwinyi Goha!!
Fashion Editor and super Model...Giver akilisasambua jukwaa
Not 0nly utangazaji...Daxx anaimiliki vyema stage......
Ubunifu zaidi ili kuleta radha ya Onyesho!!


Ikiwaani ni siku chache tangu TMH ijipatie balozi wake.. juzi usiku ilifanya halfa kubwa ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kununua gari la watoito, ikiwani Hafla iliyopambwa kwa onyesho kubwa la mavazi... TMH ilifanikiwa kuchangisha shilingi milioni 24.... shukrani za dhati kwa Mh.January makamba,Mh. Mo Dewji,Mwavita makamba,Sophia byanako, na wengineo kibao ambao nitakuwa napost picha zao pamoja na shukrani zetu kwao.. kwani bila wao tusingewezaa kufika hapa tulipofika....

Friday

2010 Top 5 Runway Models

1. Myler Jamillah Nyangasa!! but when it comes to her career anatambulika zaidi kama Myler!! Kwa mwaka mzima ndio amekuwa model anategemewa kwa kufungua show!! kwa tanzania She is our first face....Ameongoza kwa mwaka huu katika Runway!

2. Evanuru... mmoja wa Wanamitindo ambao huwa nawaita zima moto kwaTanzania... anaokoa jahazzi la show kila inapoonekana kulega lega.. muonekano na uwezo alionao kuimiliki stage umemfanya aweze kufanya show nyingi kwa Mwaka huu


3.Alexia.... Utofauti wa mwili na mwendo wa madaha awapo jukwaani huteka hisia na mawazo ya wapenzi wa fashion tanzania... nafasi ya tatu ni halali kwake

4.Rihama...... mmoja kati ya wasichana wachache walioanza modelling kitambo lakini wamefanikiwa kumiliki stage na kuonekana na mvuto kila wakiibuka na Vazi la mbunifu yoyote!!

5.Neemah!! namtambua kama makutano Junction maana kila kimeo lazijma utakutana nae...anafunga list yangu ya wanamitindo bora zaidi watano wa juu ya stage kwa mwaka huu!!

Saturday

When it comes to fashion they killed "Ice Black Magic Party"

My Tanzanian supermodel Myler



Vjpenny


The Navigator


black belt...



Loved the full black outfit and Black diamond shingoni






JayGonga killed our City with ICE BLACK MAGIC.. tanzanians knows how to party bana..

Kiwalo cha mboni kilikuwa balaaa
Venture, myler with B12

Cute Fatma with her friend


Mi pendaga this dada.....



with my boss......Nuru the Light




Mai the sweetest alikuwemo ndani ya nyumba na mashoga zake.. watoto wavutaaaaaaaaaa.


With the Navigator


Si vibaya na mzee wa Mvutokwanza akijichanganya katika kikundi cha wanamvuto kwanza hawa



Vijana walijipanga....black looks good on them



Tusichana tuzuriiiiiiiii


Jokate me and Shadz......cant say a word here



Bijoux ndani ya nyuma na Ali kiba with a friend...rocking




I love them girls their more than lovers and more than sisters to me



Tukasakata rumba haswa tu.....



My dearest sister Marsha alikuwepo ndani ya nyumba.. loved kiwalo chake duh!!




sijui kuvaa ila nilijitahidi kung'aa in Black....











Friday

From Jahazi Mpaka Maskani...Huyu Hapa Captain G Habash

Pic of the day

Hot and Sexy Tanzanian Super Model..Giver meena, Bang fashion Editor! looking howt!!

Word of Apology


It has been a long time since i up dated things in my blog.. najisikia vibaya sana si kwasababu napenda ila nikubanwa na majukumu mbali mbali ila kubwa ni shule!! nimegundua kuna wadau wengi ambao mmekuwa mkitembelea blog yangu kila siku na wengine kuni email kuwa ninachofanya si vizuri.. natambua umuhimu wa kuweka habari mbail mbali hapa mara kwa mara ili nisiwapoteze wapenzi wa blog hii ila ningeomba ieleweke kuwa nahitaji pia kuzingatia masomo yangu ila kuhakikisha najiandalia maisha yangu ya baadae and not only blogging everyday!! ninapopata time nitakuwa nahakikisha mambo yanakwenda sawa!! Nipo katika mitihani ya Finals for my second semister na nadhani ni muhimi kuzingatia mitihani hii kwani sipo tayari kurudia mitihani kwa kushindwa kufikia wastani unaonatakiwa.. namshukuru Mungu tangu nianze elimu yangu sijawahi kurudia mitihani kwa kushindwa kufikisha wastani ila nadhani kwa sasa nikizidisha blog na kuparty nitajiharibia haka ka historia nilikojiweke!! Soon i will be back na tutapeana utamu kupitia hapa hapa!!
Martin Kadinda aka Survivor

Tuesday

The NExt Big Party in Dar from CloudsTv......

One Among the best party ya kufungia mwaka kutoka Cloudstv!! lets celebrate the best of young talented Guy Qwhisar....... Dont miss this kama wewe ni mdau wa burudani tanzania

Friday

Nick Minaj are You Related to Tanzanians?

Halifichiki Pembe la Ng'ombe
Ngozi ya Kirangi
You got all Tanzanians weman features!!
Are you comfortable in this?

My Top 3 2010 celebrities Fashion Crimes


Agyness Deyn has committed fashion crime. After shaving her hair like a woman facing a 10-year stretch she wore this unflattering, striped prison-style dress in New York,source:www.mirror.co.uk


I dont know about others but this is a fashion crime for me


Sorry kety perry! for me this was not!! cant even call it a dress

Thursday

BREAKING News!! RACKAZ they are back!!



Likiwa ni kundi linaundwa na mafahari wakubwa wawili Mo racka na Quick Racka na wengineo, jana wameidhihirishia Tanzania kuwa wao ni kitu kimoja always no matter how many difficult times they face together!! baada ya kitambo kirefu cha kufanya kazi kila mmoja kivyake, jana katika uzinduzi wa Young dee ndani ya maisha Club walisimama pamoja na kuimba pamoja katika jukwaa moja, hii inamaanisha mziki wetu unakuwa na vijana wanatupilia mbali beef zisizo na mpango.. mvutoKwanza inawapongeza sana maana hii ni habari nje ya kufungia mwaka!

Wednesday

Launch of a business club "Life In Paradise Club"

Entreprenuers local and expertriates, Company HODs and Ambassodors are warmly welcomed!! this is the best place to share our experience and open new doors to our career while relaxing

Big Big Party in Dar!! Are you ready for this?


Its all about black Magic Party!! am sure if your into party and your a fashion star.. this is the place to be!!

ICE BLACK MAGIC DAR - 17th DEC 2010

Friday

We start counting Down the Top Bongo Fashion Stars

Queen of kanga jeans Vida mahimbo
Making To the top of her own World....Zamaradi

Slyvia Mashuda outstanding as always
As she loves calling me Bwoyfriend!! Britter she is single enjoying life to the fullest

BrownEyes making her way to the top of Tv personalities!! Irene
Warda Walid.. married and living happy life!!

Mjasiliamali Mboni masimba ndani