FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

Great times in Sauti za Busara Zanzibar

Nilikuwa na raha tu kila nikikumbuka nipo na mrembo wa taiifa pembeni... here with Miss tz Genevieve ndani ya Ngome kongwe
Mamaa some event...Elsi alikuwepo kuwakilisha kama kawa....

Chezea Zainul..... kila kona anakaba.....
Kila wakati kila mahali kwetu ilikuwa ni picha and laughing..............
bila forodhani bado hujakamilisha safari yako ya kuja Zanzibar.... Soko la Maakuli...
Trust katika watu waliokuwa wananipa raha ni hawa hapa...
Zainul kutoka Mo blog alijumuika nasi
Wao wako busy na picha na mimi kwa mbali nikatia kambi... palipo na picha ndipo nilipo mimi

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie