
Mabinamu wawili wanaokimbiza tasnia ya Mitindo(fashion) Tanzania, Jokate na Elsi looking super Fine

Hapana uliza swali hapa... she is fashion for the night!!

mdau wa Fashion kutoka kwa mustafar hassanali..Frank alikuwepo tu make his statement

She is just your cousin Jokate. acha mikwara basi!!

Thanx to cloudtv kwa kutambua kile nikifanyacho... nilipata Interviw fupi na the man himself Ceasar Daniel

Mdogo wangu in Fashion..Sam alikuwepo pia kumake sure things goes well backstage

Naona Ceasar alitupia kitu cha Red pale kati......poa sana akiwakilisha cloudstv

Kila mwanamke akipendeza anapenda kusifiwa... haya wadada mlipendezaaaaaaaaaaaaaaa
No comments:
Post a Comment
sema tukusikie