FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Wednesday

Beyonce akwepa Paparazi after announced dropping her father as her manager.

Entertainment rundown inareport kuwa Mwanamziki maarufu dunia Beyonce Knowles-Carter ameanza kukwepa vyombo vya habari baada ya kutangaza kuwa hataweza kuendelea kumtumia baba yake kama meneja wake, katika picha iliyopatikana hivi karibuni Beyonce ameonekana akiwa na body wake na sehemu ya sura yake akiwa ameifunika ili kuficha utambulisho wake....

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie