FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Wednesday

Rapper Jim Jones akamatwa

Ikiwa ni moja wa ma rapper wenye kipato kizuri jana Rapper jim jones alikamatwa na police siku ya jana! sababu ya kukamatwa kwake ni kutokana na kuendesha gari akitumia licence ambayo ilikuwa suspended... License hiyo ilikuwasuspended ni kutokana na kuto kulipia tickets mbali mbali kama ilivyoripotiwa na NY Daily News.’

Police mmoja wapo inaripotiwa alimwambia Jim, “I don’t care how many records you sell, you gotta pay your tickets.

Lakini baada ya masaa machache alichiwa baada ya taratibu zote kufuatwa ili kurekebisha hitilafu hiyo!.

muda mchache baada ya kuachiwa, aliviambia vyombo vya habari kuwa... “I’m just an entertainer trying to make a living,” adding that the cops had been polite. “They showed me total respect. Every officer in there is a gentleman.”

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie