
Ukiambiwa na 40yrs unaweza kubisha.. huyo ndo Suzy kutoka clouds media

Mashujaa walikamua Vilivyo......

kama kinyonga...... taratibu tunashuka

babuu wa kitaa showing somelove!!
Zamaradi: Shadee mbona hilo pozi lako silielewi??
Shadee: We nawe.. zuga kama unaelewa!! mimi mwenyewe nimejikuta tu nimesimama hivi.....
Barbara: hapa nina Anyover hata sijielewi.... am total confused hata ukiuliza nashangilia timu gani sina jibu la kueleweka..

King of afternoon shows alikuwepo uwanjani kushow some love kwa timu yake.....

BBF dataz na joan wale walio imba wimbo wa mume wa mtu

Swagger zangu za jana.. nina pete yangu ya dhahabu mkononi.. silver ya LV na manchester kubwa mkononi!!

Vijana wanne wakiwakilisha Clouds Group!!

castro.....jimmy producer wa Powerbreakfast na brand manager wa XXL

Ushabiki wa mpira hauchagui umri wala rangi.....


Yaani katika timu zilizokuwa na mashabiki wenye mbwe mbwe kwa jana.. manchester walikuwa gumzo..... hawatulii uwanjani!!

Tanzania yetu bana haina makuu.. mkononi nina
manchester na kifuani nina
Arsenal.. pembeni yangu nipo na
Chersea.. amani tele...

Baada ya mechi si mbaya ukishangilia kwa style ya kiduku kama malkia sophia kessy wa mamaland ya
Cloudstv
No comments:
Post a Comment
sema tukusikie