FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Wednesday

Nilikuwa nabaguliwa kwa mwili niliokuwanao-Jennifer Hudson

Mwanamziki wa RnB Jennifer Hudson akizungumza na Britain's Grazia magazine amesema kuwa mwili alikokuwa nao hapo mwanzo ulimfanya kuwa anabaguliwa katika mambo mbalimbali yalihusu burudani ndani ya Hollywood, kupitia magazine hiyo hiyo Jen amesema kuwa amefurahishwa na positive respond aliyoipata kutoka kwa Beyonce na alicia keys juu ya mwili alionao kwa sasa. jennifer anasema, "last week i saw some footage of myself as i was five years ago and i was suprised, it was like i recognize myself but i didnt, it seemz another world away. but in this slim world i do now realize i was being descriminated against. am offered more parts. there is more excitiment about me now"

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie