FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

Trina&Keyshia cole wachanganywa na BET Awards Nominees

Ikiwa ni siku chache tangu kutolewa kwa List ya wale wanaowania tuzo za BET kwa mwaka huu baadhi ya wasanii wamefunguka na kuonyesha hisia zao wazi kwa tuzo hizo kwa mwaka huu, ukiachilia wanamziki ambao wapo ndani ya kinyang'anyiro hicho na hisia zao wengine ambao hawakuwepo katika list hiyo wameonekana kuchanganyikiwa na kupitia kurasa zao katika social network wameamua kuandika what the feel about it...
Wakwanza alikuwa Keyshia Cole ambaye yeye aliandika..."Kwa miaka saba sasa nimekuwa katika game na nyimbo saba ambazo zimekuwa 1record lakini none of them got award and am still touring", akaongezea kwa kusema "It is what it is, this type of thing are the way they are. Am not upset about any of it in anyway. I hope everyone that goes has a wonderful time

Trina nae kupitia twitter ameandika...."Fuck BET" just short sentence can show how mad you are!! trina ameonekana kukasirishwa na kitendo cha wa master P kuwa katika tuzo hizi wakati yeye kashadondosha mixtape za kutosha sokoni na zinafanya vizuri alafu hayumo katika BET's Best Hip-Hop Artist

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie