FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Thursday

Usilete MasiHara Na Enzi hizo

Sikuhizi Sharobaro sharti nguo ya ndani ionekani akivaa mlegezo, enzi hizo masharobaro walikuwepo lakini walikuwa wanapiga shati la uji uji na juu "nibanie chini niachie"
Kiduku kilikuwepo enzi hizo lakini sharti uinamie mbele sio nyuma ili kulinda ushalama wako, sikuhizi tunainamia mbele, we mtoto nyuma nani anakulinda?
Nyie mnaenda Beach za Mzungu, enzi hizo picnik ni mtoni, mamba na kenge tunaogelea nao tu
Mnaenda photopoint sikuhizi na vibag vya LV au Gucci, enzi hizo unabeba kahawa yako na unapozi nayo katika picha kama una mimina hivi
Kiduku sharti upanue miguu ili kuweza kuruhusu mzunguko wa hewa safi na chafu wakati wa uchezaji
sikuhizi mnabeach wear, enzi hizo ni chochote we unavaa ukitaka kwenda kuogelea

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie