FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Saturday

Stars on making in Dar es salaam


Well Known Radio presenter,Actor and master of Celemonies(MC) Captain Gardner G Habash


A beautiful Actress, much on confidence and true on actin!! known as Irene Uwoya Wa Ndikumana





Ala za Roho sexiest man, singer and founder of music group!! Moracka on Spot



Known as Zungu, up coming model who appeared in alot of Vodacom advert and new africa hotel adverts!! Who has true love on Photography!! I wanna be a legend of photography as my Bro Raqey!!

Mdau akijivinjali katika Party


Anajulika sana na wadau wa burudani Bongo kwani anajua kujichanganya katika Shughuli mbali mbali!! ni mdau mkubwa wa Machozi Band!! huyo hapo Herry Nasser

Wednesday

Deal kutoka elite model look!!

Maisha baada ya MAISHA PLUS



Anajulikana kama Steve wa MAISHA PLUS lakini jina lake halisi ni Steven Sandhu Mwenyeji wa Arusha!
Mvutko kwanza ilipata nafasi ya kuzungumza nae baada ya kukutana sehemu flani akiwa bussy na maandalizi ya utengenezaji filamu yake na kijana mwenzie wa maisha plus Charles

Steve kwa sasa amejikita katika tasnia ya filamu na uanamitindo na tayari ameshacheza filamu inayokwenda kwa jina la WAKATI
Humo ndani amekamua kama main character! ndugu yangu filamu ni bomba kichizi na inaingia sokoni hivi karibuni! kaa tayari kumcheki dogo humo ndani anavyokamua.



Ukiachana na Swala la filamu, Steve ni Tourism operater na tour agent! na anamategemeo makubwa ya kuleta mapinduzi katika ubunifu wa mitindo, hii inamaanisha kwamba jamaa ni fashion designer chipukizi, na anafocus zaidi katika soko la watu wazima! anaamini hao ndio watakaoweza kuendeleza mavazi ya ndani ya nchi!! pia anampango wa kutengeneza nguo zakiume zaidi kuliko za kike!



katika watu anaopenda kuwashukuru katika maisha yake ni Mwenyezi Mungu, wazazi wake na DMB ambao hao ndio waandaaji wa maisha Plus!!

Ana mategemeo ya kuwa mtangazaji wa TV!!


Na anapenda kuwaasa watanzania waachane na uvivu na kujishungulisha ili kuleta maendeleo katika jamii Yetu!!



Mvuto kwanza inamtakia kiloa la kheli Steve and we Hope he Gonna archive his target!!

Malkia Wa night Express



Bibie Sophia Kessi kwake urembo ni jambo la kumfurahisha hasa unapotunza ngozi yako kwa vimelea asili na kuachana na vipodozi vinavyotegenezwa viwandani! Ngozi yake ni maridani na anajivunia zaidi kuwa mwafrika!!

Anakwambia kunywa maji kwa wingi na kula matunza ndio njia pekee inayomuwezesha kutunza ngozi yake Asili!

Kweli yeye ni mwannamke wakiafrika!!

Tuesday

Delicious Diva With Shut Up Hair Style


Daim hot! hair do,lips and killing Eyes!! Known as Diva but for me She is Delicious Diva



Fashion Polis leo imeangukia kwake mwanadada Eligiver Godwin!! Mdau wa urembo unahitaji kushika tention za watu pindi uingiapo katika mkusanyiko wa watu, hapa Delicious Diva alikuwa katika party fulani! ukimtazama kwa makini moyo wako na macho yako yanakubali kuwa umekutana na msichana anayejipenda na anayejua nini maana ya urembo! Sun Glasses za Gucci, skarfu na top nyepesi kwa majira haya ya joto!!

She is a fashionistar

Thursday

Ali kiba Kuishika Dar es salaam!!


Baada ya kuwashika kwa sauti na Perfomance nzuri juu ya Stage Ughaibuni! Ali kiba amerudi Bongo na kwakuanza ulimuona katika Show juzi iliyoandaliwa na Cloudsfm pale Movenpick!! kijana najituma na anajua kumiliki stage kwa kutumia live band! So kaeni tayari kwani kijana Wenu yupo mijini kuwapa Flavour ya Kitanzania!!

Wednesday

Huyu ni Kimwana Jamilah Nyangasa!!! Miss International Tz 2008




Baada ya kufanya vizuri katika urembo! Jamila amehamia katika uanamitindo na sasa analitikisa jiji kwa catwalk na kung'ara zaidi pindi awapo juu ya stage!!!





Jamila akiwa na mrithi wake wa taji la Miss International Tanzania

Sunday

Wadau wangu wa Mjengoni!!


Huku mzee Habibu, huku heka Heka nazitaka na picha nazo?? Aku sitaki!! nageukia pembeni!!


ZAmarad na Dina Marious Vimwana wa Leo tena!!



Diva Loveness Love na Adam mchomvu


Anaitwa adam!! utampa katika XXL


Mzee wa So So Fresh na Zamarad mketema


Kaptain wa Jahazi!!


Adam, dina marious,B12,Geha na Zamarad



Dj Bulla na malkia sophia Kessy!!



Hawa wadau wangu kutoka katika dawati la bambataa!! wakiongoza wa Malkia sophia kessy

2nd Anniversary ya Tanzania mitindo house!!

Jumamosi hii Tanzania mitindo house ilikuwa na party ndogo ya kutimiza miaka miwili ya kuanzishwa kwake!! Ni jambo ambalo limegusa wadau wengi na walijitokeza kwa wingi kuchangia chochote ili kuweza kuhakikisha TMH inawasaidia watoto wengi zaidi!! kama hukuweza kufika na unafikiri unahitaji kuichangia TMH please wasiliana na Khadija mwanamboka!! chochote kile kinaweza kuwa msaada kwa watoto hawa hasa kwa kipindi hiki cha mwezi wa toba(Ramadhan)




Bongo Star search walikuwepo kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwa watoto hawa wa TMH


Vyombo Vya habari mbali mbali vilikuwepo!! Hapa mdau mwenzangu nilimfuma akiwa bussy!!


Tumejisikia furaha sana kupata mlo wa mchana na watu mbali mbali maarufu ambao tumezoea kuwaobna katika tv!!


Watoto walifarijika sana kula chakula cha mchana wa washiriki wa Bongo star Search


Watoto wa TMH wakipata mlo


How hot can u be in a simple collection of Your dress? Lady jay dee alihaidi milion moja kwa TMH


Madam Ritha alihaidi kuchangia milion 5 katika ujenzi wa kituo cha michezo Kigamboni kwa ajili ya watoto wa TMH!!


K-lynn alikuwepo kuungana na wadau mbali mbali katika maazimisho haya ya miaka miwili ya TMH



Kanumba alikuwepo kuwakilisha wasanii wa filamu katika kuwasaidia watoto wa Tanzania Mitindo House!


Ali have You becamed player? maana everyday upo na kidemu kipya!!



Hapa sikuelewa kidogo! Asia anampango wa kuwa mtangazaji Wa EATV na kuachana na ubunifu?


Jide; Ushauri wa mume wangu Gadner ni kila kitu kwangu!!


Diva-s Shines always!!



Lady jay dee Na founder wa Tanzania Mitindo House


I-View Photography walikuwepo katika Fund raising hii!!



God mother wa TMH na mustafa Hassanali walikuwepo



Mwanvita Makamba na Mange wakibadilishana mawazo


Mwanadada Aunt Ezekiel na Fidelin Iranga wakiteta!!

Tuesday

Beautiful Tanzanie Na I-view Photography Ndani Ya KISURA 2009

Mchakato wa kumtafuta Kisura wa Tanzania ndio huo umeanza na hao pichani ni visura wa kutoka karatu ambao wamepata ticket ya Kuingia katika kambi ya kisura mwaka huu! leo wapo arusha Then Tanga na tar 20 na 21 watakuwa ndani ya jiji la Dar es salaam Hivyo kama unadhani unavigezo vya kuwa kisura wa mwaka huu wa 2009 Kaa tayari!!



Mbunifu maarufu wa mavazin Ali rehmtulah ni Moja kati ya Majaji wa shindano hili anaeonekana kuwa makini sana katika kutoa maamuzi!

The Pain of Diva (Loveness love)

Wadau wa vile vipindi murua vya usiku watakuwa wanamfahamu vizuri Diva Loveness love ambae huwa anaendesha show ya Ala Za Roho ya Cloudsfm!! Mara nyingi Amekuwa akisika kuwa mtangazaji mwenzie wa Redio B12 ni mpenzi wake! kumbe ilikuwa na Show tuu na leo Diva anasema: "Sina UHUSIANO Na B12"



Hallow!!


Baada ya watu wengi kutuma sms kila mtu na style yake..nimegundua Tanzania tumekuwa waoga katika njia moja au nyingine ya Kuwavuta wasikilizaji kukusikiliza,inaweza ukawa unafanya ili ufurahishe au upate Jinsi ya kuongea chochote kwa njia ya kuwakilisha Ujumbe kwa njia yoyote but imekuwa ngumu.


Saa hizi ni usiku wa saa 7 na nimekaa kitandani kuandika Haya ninayoandika And pls naomba tuelewane,kuna niliowakwaza kwa namna moja ama nyingine kwa Kumuongelea B12 kama Mpenzi wangu but i was doing it for the show naomba mnisamehe kwani sikuwa na nia tofauti na wala sina lolote lile linaloendelea kati yetu


B12 ni Mfanyakazi Mwenzangu tu na hatuna Mapenzi yoyote yanayoendelea kati yetu wala Hatukuwahi kukaa na kuongea suala lolote la Mapenzi,Its only a radio show ..


Huwa sina taratibu ya kukasirika for more than ten minutes au kumpa mtu nafasi ya kunikasirisha ila nimekasirika kupita kiasi Mungu anajua,i wish kupiga Makelele ila nashindwa,wish to punch someone on the face nashindwa;I am really Angry ..sijawahi kukasirika hivi..Crying out is what is helping me for now.


Wanna let evry1 ambae anahisi au alikuwa Anaamini yale yaliokuwa nayaongea katika Kipindi kuwa B12 ni Mpz wangu ajue sio kweli ni Mpz tu wa kipindi and sitamtaja tena kuepusha shari.


Ala za Roho its about slow music and Few words and that is what the show will always be..kama kuna mtu nilimkwaza in any way pls learn to Forgive Me.. am just an Ordinary Person maybe sijui ninachokifanya..Sina Mpz na niliekuwa nae alifariki na ni ngumu kumpata kama yule,Mungu amlaze Mahala Pema Peponi.


Ntasimamisha Website yangu kwa Muda Mpaka pale nitakapoamua.


Asanteni kwa Marafiki na Wanafiki na Kila Mtu asante kwa kila kitu kidogo mnachonifanyia,nawashukuru sana wote ambao Mnani support na Msio ni support pia Its All goood.


Am living my life for now.
Diva; Loveness Love

Monday

Friday

Top Hollywood’s Sexiest Celebrities

#1. Salma Hayek
E-Score: 65%


Age: 40

Though anything but ugly herself, Hayek scored big with ABC’s freshman dramedy Ugly Betty. In addition to her role as the show’s executive producer, she won over audiences as Daniel Meade’s love interest and women’s magazine editor Sofia Reyes. Off-screen, Hayek is carrying the baby of billionaire fiancé Francois-Henri Pinault.




#2. Jessica Alba (tie)
E-Score: 64%

Age: 26

Playboy got it right when it named Alba among its 25 Sexiest Celebrities last year. Where the magazine went wrong, at least according to Alba: Sticking her on the cover without her permission (the A-lister has since dropped the lawsuit). This summer, Alba returns as Sue Storm in the Fox blockbuster Fantastic Four: Rise of the Silver Surfer. And still to come: a leading role in sequel Sin City 2.






#3. Carmen Electra (tie)
E-Score: 64%

Age: 35

Though the bombshell got the world’s attention as a Playboy model, she has been able to maintain her fame with roles on the big and small screen. Most recently, the former Baywatch cast member could be seen in big-screen laughers Epic Movie and Scary Movie 4.





#4. Shakira
E-Score: 63%


Age: 30

Shakira has won over fans with her beauty and music alike. A two-time Grammy winner, the Columbian songstress has sold some 50 million albums over the course of her career. Next up, her songs will reportedly appear in Love in the Time of Cholera, a silver-screen adaptation of Columbian author Gabriel Garcia Marquez’s novel, hitting theaters later this year.






#5. Beyonce Knowles (tie)
E-Score: 59%


Age: 25

She may have risen to fame as a member of girl group Destiny’s Child, but Beyonce has shown she can make music and fans all by herself. Most recently, she wowed the latter with her beauty and skill in the holiday blockbuster Dreamgirls, for which she received acting and singing Golden Globe nods. The songstress is currently belting out tunes on her lengthy “The Beyonce Experience” tour.







#6. Eva Longoria (tie)
E-Score: 59%

Age: 32

She may play former model Gabrielle Solis on ABC hit Desperate Housewives, but Longoria has no trouble turning heads off of Wysteria Lane as well. Later this year, the petite actress will appear on screen in Universal Pictures’ Over My Dead Body. Off-screen, Longoria recently tied the knot with NBA all-star Tony Parker.







#7. Catherine Zeta-Jones
E-Score: 57%

Age: 37

Zeta-Jones’ resume boasts a slew of big-budget flicks, including The Mask of Zorro, America’s Sweethearts and Ocean’s Twelve. And in 2003, the Welsh actress took home an Oscar for her supporting role in the film adaptation of Chicago. Later this summer, she’ll play opposite Aaron Eckhart in the Warner Brothers romantic comedy No Reservations. Off-screen, she’s married to Michael Douglas.






#8. Elizabeth Hurley (tie)
E-Score: 56%


Age: 42

On screen, Hurley is still best known for her role as Vanessa Kensington in the Austin Powers series. But off screen, the beauty, who once dated Hugh Grant, has launched a fashion line and played spokesmodel for Estee Lauder. Earlier this year, she wed Indian businessman Arun Nayar in a lavish eight-day ceremony.







#9. Raquel Welch (tie)
E-Score: 56%

Age: 66

Welch rose to stardom during the 1960s as a Hollywood sex symbol. Her iconic status continued to open doors, landing her roles in a host of films and magazine spreads. In fact, Playboy named the Fantastic Voyage star, who still appears on the big screen, the “Most Desired Woman” of the 1970s.






#10. Jessica Biel (tie)
E-Score: 56%


Age: 25

Biel has added to her resume and her fan base since her tenure on Seventh Heaven. She recently graced the silver screen in Warner Bros.’ The Illusionist opposite Edward Norton and Paramount’s Next opposite Nicolas Cage. Later this month, she’ll return in I Now Pronounce you Chuck and Larry, opposite Adam Sandler and Kevin James.







#11. Jennifer Lopez (tie)
E-Score: 54%

Age: 37

The former backup dancer has more than a famous backside. In addition to Lopez’s singing and acting pursuits, she boasts a clothing line, a perfume line and a Cuban restaurant called Madre’s. This year, she added a television show, MTV’s DanceLife, and her first full Spanish-language album, Come Ama una Mujer, to her resume.






#12. Alyssa Milano (tie)
E-Score: 54%

Age: 34

Milano got the public’s attention as Tony Danza’s on-screen daughter Samantha Micelli on the late-1980s sitcom Who’s the Boss? Then, she earned a starring role and a producer title on The WB’s Charmed. The TV beauty also boasts a clothing line and will soon have a jewelry line to match.





#13. Pamela Anderson (tie)
E-Score: 53%


Age: 40

Anderson’s curves landed her on the pages of Playboy and the beaches of Baywatch. Her latest flick, Blonde and Blonder, made its debut at May’s Cannes Film Festival. Currently, she’s lending her talent–and looks–as Hans Klok’s assistant in his Las Vegas show, “The Beauty of Magic.”







#14. Angelina Jolie (tie)
E-Score: 53%

Age: 32

She’s as well known for her globe-trotting brood as she is for her on-screen fare. Other much-publicized topics of interest: her shrinking waistline and live-in lover Brad Pitt. Jolie can be seen playing Mariane Pearl in A Mighty Heart, based on the best-selling book by Pearl about the murder of her husband, Wall Street Journal reporter Daniel Pearl.

Now, is there other one you want to add in the sexist women? Please recommend one in your mind?