FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Sunday

Amber Rose & Wizzy its now Mr&Mrs kama ulikuwa haujui

Habari nilizonazo ni yule mwanadada mwenye umbo la kutamaniwa na si wanaume tu bali hata wanawake wenzie Amber Rose Weekend hii amefunga pingu na mwanahip Hop Wizzy khalifa, Habari zaidi zinasema Amber Rose walifanya party hiyo jijini Las Vegas na picha hapo juu inaonyesha wakicheza muziki kwa mara ya kwanza kama mke na mume!!

Tukikumbuka vizuri wiki chache zilizopita mwanadada Amber Rose katika mahojiano yake na chombo kimoja cha habari alisikika akisema yupo tayari kuwa mke wa ndoa wa Wizzy Khalifa nafikiri hii inatokana na kuwa na mipango ya Siri ya kufunga ndoa iliyokuwa ikiendelea. kiwa kupitia ukurasa wake wa twitter Amber Rose hivi karibuni amekuwa akimwita Wizzy mume wake nasio boyfriend kama ilivyokuwa mwanzo, check tweet yake hapo chini

No comments:

Post a Comment

sema tukusikie