FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Saturday

WEEKEND HII AM IN ARUSHA WITH WEMA SEPETU, SNURA AND ROMMY JONES FOR CARWASH CHARITY: HIKI NI KIONJO TU


at JK AIRPORT...OFF TO ARUSHA






MOVIE LINAANZIA HAPA....


9 comments:

  1. Anonymous06:45

    Mwambie Wema apunguze mkorogo mschana mdogo anaonekan yupo 30 tayari na hayo ya kichina anaonekana feki hayavutii. Ukibania haya ukiweka hewaa lkn apunguze hivo vitu vkwili ukibisha angalia picha za hapo juu apopanga vitu sooooo fake.

    ReplyDelete
  2. Anonymous03:38

    Umependeza wema

    ReplyDelete
  3. Anonymous09:56

    Haya twasubiri tuone vitu kamili maana umesema hivyo ni vionjo je wema anafungua lini website yake maana nahakaika itafuta siipati.

    All in all mmependeza

    ReplyDelete
  4. Anonymous05:41

    mwachen wema wang. mwaya umependeza me wsh u ol da bst

    ReplyDelete
  5. Anonymous03:33

    jamani kama mtu anataka kupakana yy apake mwacheni wema nimzuri bana mnamuonea wivu mtt wa watu kila siku mikorogo mikorogo mtu unaruhusiwa kupaka chochote unachotaka

    ReplyDelete
  6. Anonymous14:16

    keep it up cute wema, ur so beauty .
    waongeao rubbish ebu mshushiiii.

    ReplyDelete
  7. Anonymous00:35

    Nampenda sana wema lakini sasa nimechanganyikiwa kusikia karudi kwa diamond!!!Kwa kweli utarudi tena chini Fanya maisha yako bana chini ya meneja wako achana na vidume vinavyotaka kupata umaarufu kupitia kwako wema we ni mzuri mdogo wangu!!!!!

    ReplyDelete
  8. Anonymous09:31

    wema unaniuzi xana kama kweli unataka mwanaume mbona unapendezea na martin kadinda si utoke nae tu diamond wanini

    ReplyDelete
  9. Leave the chic alone jaman, kila cku hamuishi kumtia mtt w mwenzenu midomoni, dts non of yo damn business... dts her life!! Go on gal, hatres go hang yoselvs!1!

    ReplyDelete

sema tukusikie