FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Monday

Shaggy in Tanzania- Zanzibar "aliwapagawisha sana tu"

Muziki ni kazi na ni maisha yangu pia Zanzibar can u feel me?This is my swaggerFeel the rushMr loverman



Ngome kongwe parifulika vyakutoshawanahabari pia walikuwepo


nilituliza akili hapa baada ya purukushani za siku hii


i love setting ya vyumba vyao


Pana mazingira ya kinyumbani zaidiZanzibar beach resort ndipo tulipofikiaAkisign kitabu cha wageniMedia haikuwa nyuma kuchukua kumbukumbuUmati ulimzungukaJamaa ni mpole na mwenye kupenda kutumia muda wake mwingi kusikiliza na kucheka tuAm so proud of myself huyu ni star wa 3 sasa nafanya nae kazi...Shaggy akiwa na mmoja wa Fans walioungana naye katika safari ya zanzibar








Many thanx to Joe kusaga kwa kufanikisha kuja kwa Shaggy Tanzania kwa mara nyingine tena na pia kwa kutoa private boat yake tuitumie katika safari ya kwenda Zanzibar, shaggy wanted to Experience something new and i think hii safari ya boat kwenda zanzibar ilikuwa poa kwake!!


Head of Marketing kutoka SBL alikuwepo nasi katika safari hii na Shukrani za Dhati kwako kwa Vinjwaji ndani ya Boat maana hakuna kinywaji ambacho ungeitaji na ukose!! Vijana kutoka 69 records walikuwepo ndani kurekodi baadhi ya vipindi vya ile tamthiliya yao inayoendelea Clouds TvSlyvia Shari na rafiki yake nao waliungana nasi katika Safari hii ya Zanzibar

1 comment:

  1. Anonymous05:56

    mh.... martin you enjoy'd alot wit shaggy been around with people of zanzibar karafuuuu land shekhee wanguu... its mohd maukwe

    ReplyDelete

sema tukusikie