FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Monday

VIP White Party Dar es salaam 4th June 2011

Picha laanzia hapa zuriani
katika zuria pia Khadija mwanamboka alikuwepo

I real love jokate mwegelo!! no words can Express this


Kill the with those eyes JK8


Kwa Swagger tu Pennyl wanimaliza.. ally remtulah ulitisha na manyoya yako baba


smile


My gurl Pennyl killed it with her short dress!!

Kuzubaa kidogo si nikatwangwa busu bana

Kila mtu na Swagger zake, Big bro Hasheem, Maylove na Hamis Mandi "B12"

Kuuita hii ndo ya pili kwa Jay Dee ni masihara tu!! kamwe hakuna wa kumreplace Gadner ndani ya moyo wake!! ila dada yangu alitupia ile nguo yake aliyoivaa siku alipofunga ndoa!! kwangu ni kama alikuwa anakumbuka special day ya maisha yake

Call her Marsha the fashion Star wetu, kijungu hiki kimetoka wapi marsha? asije kuwa babu wa loliondo anakunenepesha maana nasikia mchina kashuka katika chati now

3 comments:

  1. Anonymous23:32

    HABARI YAKO WANGU BADO KILIO CHANGU KWAKO DEM WAKO PICHA HIVI INAMAANA HUTOKI NAYE KWENYE PART AU HUNA DEM NIAMBIE NIKAFIE MBELE HUKO.BY THE WAY MMEPENDEZA.

    ReplyDelete
  2. Anonymous04:14

    where,s ur gal martin?

    ReplyDelete
  3. Anonymous06:38

    awosame

    ReplyDelete

sema tukusikie