FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Friday

jicho langu wiki hii!!


Wanna became a photographer so ur learning au mdau kaomba umtizamie?



After being a beauty Queen umekuwa make up artist au ulikuwa tu unamsaidia mrembo?



Sijaelewa hapa! unataka kuwa Dj? au ni style yako unayotumia now days kudhihirisha no matter what your having u can still be Sexy man as Diva recognised you?



HApo kwenu au ugenini? umekaribishwa au umejikaribisha?



Umeamua kuachana na ubunifu na kuwa Model? sijaelewa bado!! au unataka kulibunia jiwe nguo?

7 comments:

  1. Anonymous09:23

    sasa hivi ni vituko jamani, mbavu zangu mie, ninacheka mpka basii

    ReplyDelete
  2. Anonymous08:01

    this is too much, wewe unapata wapi picha za matukio hivi?

    ReplyDelete
  3. Anonymous05:08

    Bora ulivyotoa ile article ya Kanumba maana watu wangekushambulia ile mbaya

    ReplyDelete
  4. martin06:38

    siogopi kushambuliwa. ni maneno tuu hayo alafu nzuri zaidi yanatoka kwa unayemjua! anakuwa napoteza muda tuu!

    ReplyDelete
  5. Anonymous06:40

    huyo moraka mbona imekuwa soo. ukisikiliza redio usiku ni moraka kwenye mablog moraka. na yeye anayake blog. Yatosha

    ReplyDelete
  6. martin06:43

    so? wats da problem hapo? unampenda maybe? au unajisikia kuongea Yo? Behave well kama vp!! nafurahi unapitia blog yangu but comment zako kaziongelea bafuni unapooga kama huna comment nzuri za maendeleo

    ReplyDelete
  7. Anonymous01:49

    kwangu burudani tuu. tupe vitu dogo

    ReplyDelete

sema tukusikie