FOR WEDDING PLANNING, FASHION DESIGNING, ART DIRECTION AND STYLING CALL +255 717 514179

Friday

Lulu Michael & Martin Kadinda?? She is just My Young sister!! Tusitiane ubaya!

Hizi Heading za magazeti yetu haya msizitilie maanani, ukisoma heading na habari ndani wanaongelea jambo tofauti so mnaotazama magazeti haya juu kwa juu na kumsakama mtu kwa maneno muwe mnajaribu kusoma ndani, Lulu ni mdogo wangu wa Shule, wakati anaanza form one mimi nilikuwa form Six na alikuwa akinipeda na kuniheshimu na ndio maana mara zote tunapokutana, kukumbatiana na kupiga picha ni jambo la kawaida...

4 comments:

  1. Anonymous19:01

    usijali martin wala wasikuumize vichwa huyo jongoo mshika magazeti ndo zake ngoja siku wanahabari wake wamgeuke watoe picha zake aki duu na watoto wa shukle ndo atakoma

    anapenda sana kudhalilisha watu na kumchafulia jina huyu mtoto lulu kila kitu kibaya ni lulu anauza magazeti yake kupitia migongo yenu yaaani sempendi kila headline yake ukisoma tofauti na kilichoandikwa

    ReplyDelete
  2. ukaka jamani tuna taka mwisho wenu tu!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Anonymous11:26

    yaani sidhani kama kuna mtu anayachukia haya magazeti ya udaku kama mm yaani wananiudhi kupitiliza waongo siwapendi globalpublisher,,wanaandika kitu ambacho sichaukweli halafu chini yake wanasema tulipompata akatufafanulia vizuri kwahiyo sio kweli sasa kama aliwafafanulia vizuri mkaelewa kwanini muandike kwenye magazeti?nawanao comments hawana akili hawajui ukweli wanaanza kutukana ovyo wewe kaka yangu yaani achana nao hata ukisema lulu mmetoka tumbo moja hawakosi lakusema ,,yaani naandika hivi ninajaziba nao sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  4. Anonymous04:26

    Shigongo huyo a.k.a mzee wa passport.

    ReplyDelete

sema tukusikie